shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Jirani yakeWewe, ndio msemaji wake kwani
Jirani yakeWewe, ndio msemaji wake kwani
Sema ana gunduHahaa... Jonax mtu poa, ila kiboko ya watu kama wakina bitoz mvaa kata k.
ukikaa nae karibu anaweza kukuambukizaUna utani wa ngumi weweToto la kuomba kwenye mbuyu hilo

Aahh.. Sijui kwa kweli, mie mgeni.Sema ana gundu![]()
ukikaa nae karibu anaweza kukuambukiza
Kaniamshie... Sasa hiviJirani yake
Poa kamanda... Ukichelewa kuamka utakuta tupo 200.002kUsiku mwema ndugu zangu.
mkuu hiyo 100k yako si laki moja? Chunguza vzuri wachangiaji wa thread hii je wamefika makumi, mamia, maelfu au malaki?Unazungumzia 1k, wakati watu tupo 100k
Fanya uchunguzi........ utaaminiAahh.. Sijui kwa kweli, mie mgeni.
Tupo tisa... WeWE ni wa kumimkuu hiyo 100k yako si laki moja? Chunguza vzuri wachangiaji wa thread hii je wamefika makumi, mamia, maelfu au malaki?
vizuri sana!Tupo tisa... WeWE ni wa kumi
Karibu sana.vizuri sana!
asante mkuuKaribu sana.