Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Ataanzia wapi kwa mfano?Anasema anataka kutupia hat trick
Ataanzia wapi kwa mfano?Anasema anataka kutupia hat trick
HaaahaaaUnapenda sifa si useme unakunywa komoni
![]()
![]()
![]()
![]()
...........
Hauna itanicosti saaaana.... Iyoo slow
Anakuzingua(anakuchezea akili)
NdotoHii 100k ntaitupia usiku mkiwa mmelala kabisa.
Ila kama ntaikosa basi itakuwa ni hizi bia nnazokunywa hapa ndo zitanicost


Anakuzingua(anakuchezea akili)
Uwe unajiongeza + kupotexea
![]()
![]()
![]()
........





Muda siyo mrefu analala alafu anatuachia magwiji tukiendelea kuigombaniaAtaanzia wapi kwa mfano?
Niko poa sana, tiririka tuSomething tells me leo hujaamka vizuri. Ngoja nipite mbali kabisa nisije haribu usiku wangu buuure.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app

Endelea kuota tu. Mpk ukiamka utakuta mtu mzima hapa nmeshafanya yangu
Sasa pale umetoa macho kama umebanwa na mlango
ThubutuuuuuuMuda siyo mrefu analala alafu anatuachia magwiji tukiendelea kuigombania
Naona km umemwita kilazer vileWe jamaa ni Genius...una undugu na Alistoto nini??
Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app

Wali?? Kwani kuna sherehe?
BabyWaambie baby
Labda macho ndo yalivyo...Sasa pale umetoa macho kama umebanwa na mlango

