Makapuku Forum

Makapuku Forum

Furaha yangu ni kuona watu wanapata kitu roho inapenda,
Japo nami natamani.
Huyu Amaizing nilimwombea amepata nafurahi pamoja naye,
Cjui naponzwa na id yangu
Hhahahahahahah kumbe kupata pakupumzikia ndiyo tatizo..Usijali mkuu simamia huu mstari Isaya 65:24 unasema "Itakuwa KABLA Hawajaomba Nitajibu; Wakiwa katika kusema [Kuwasilisha maombi] nitasikia"
 
Yaani unachepuka hapa hapa kwenye hii familia... umenikosea sana... nina mwaka hujaniita Kipenzi lakini wengine ni kama pumzi...
kiwatengu najua hujaamka ila ukiwa kama mzee uliyehalalisha hii ndoa naomba uje uivunje rasmi niwe single and available na Mali tugawane
Mzee mshana jr nakuhitaji Mzee haraka...

Bbylove cute b bado hali ni tete
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom