makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,430
- 108,444
Chato ya tanga atii[emoji23]Wa chato hatung'atiko hivo
Chato ya tanga atii[emoji23]Wa chato hatung'atiko hivo
Mimi tena, zote zimebamba sana kwa upande wanguNaomba nione Top 5 yako hapo Makaveli na Shululu
Usingizi umekata ringi mpenz!! Toka saa 9 usikuNini shida my darling
Karibu mpenz.. I cnt wait jaman malkia wangu..Najaaa
AhsantePole yako
Be without uNaomba nione Top 5 yako hapo Makaveli na Shululu
Huyo Seal wimbo wake huwa ni ringtone yangu aisee kuna ka kipande huwa nakapenda "You became the light of the darkside of me". [emoji4][emoji4]Zote zimetisha sana
Poyee wewe ungeniamsha tu lakini tukeshe wote.Usingizi umekata ringi mpenz!! Toka saa 9 usiku
Dyudyu ameukumbatia usingiz wote[emoji85] [emoji85], kila nikiangalia ulivyoumbika wife usingizi unazidi kusogea kilometa kadha, na jinsi ulivyokuwa umelala unajigeuza geuza nazid kuwa hoi..[emoji7] [emoji7] Nataman nikuamshe nakuonea huruma, kwa shughuli niliyokupa, nahofia usije nifia mkononi bure mke wangu, ntapata wapi kifaa kama wewe...[emoji8] [emoji8]Anashindwaje kulala na kaubariki haka ka milimani[emoji2][emoji2]
Du we ni nomaa umechomekea hapo hapo na maneno ya Fantasia[emoji9]Karibu mpenz.. I cnt wait jaman malkia wangu..
When i c u... Fantasia anahusika
Tumekutana..Mi napenda kufurahi
Yani hapo inaonyesha pole yako wewe ambae hukupata usingizi ila yeye aliuchapa tu kisawasawa. [emoji38][emoji38][emoji38]Ahsante
Japo sijajua pole yako ni pole kweli au pole ya kunisakama..
Bagua tu.. Hata sisi zote zimetubamba, nawe zibambe hvyo hvyo.Mimi tena, zote zimebamba sana kwa upande wangu
[emoji173]Be without u
Im ur angel
Let me love u
No diggity.
When i see u.
Hapo swafi kabisa
[emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8] [emoji7] [emoji7]Huyo Seal wimbo wake huwa ni ringtone yangu aisee kuna ka kipande huwa nakapenda "You became the light of the darkside of me". [emoji4][emoji4]
Hhmm.. Nilikuonea huruma mpenz, ulikuwa umechoka sana. Umelala km mfuu, top vibes ya cobblepots nyimbo zote 13 nimeplay hata kutikisika.. Nikaona nikuache chiamii changu.Poyee wewe ungeniamsha tu lakini tukeshe wote.
Poyee wewe ungeniamsha tu lakini tukeshe wote.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Du we ni nomaa umechomekea hapo hapo na maneno ya Fantasia[emoji9]
Ndio hapo namuuliza pole hyo ni ya ukweli kuwa ananipa pole akinionea huruma kwa kutofaid usingiz au ananipa pole ya kinafiki kunicheka kukosa usingiz!!Yani hapo inaonyesha pole yako wewe ambae hukupata usingizi ila yeye aliuchapa tu kisawasawa. [emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji173] [emoji173][emoji173]