Dah.. Siku hizi mambo mengi mpaka nasahau, mkweo ameniambia kakumis, so jiandae jumapili tunasafari ya kigamboni, mkweo akakuone
Then jana nilipitia home kuona wakwe zangu, mama anasema umemsusa wiki nzima hujamtafta.. Alinitania kwa kusema mimi ndio nmekuwa mwanae mzur, wewe umemgwaya..