Makapuku Forum

Leo katika Historia:

Sina la ziada, kwa udhamini mnono wa Mimi Mwenyewe tukutane kesho.

Ijumaa Kareem.
Asante sana mkuu mussolin

Kwa kukazia zaidi
Tarehe kama ya leo papa John Paul wa pili anasoma Misa yake ya kwanza kwenye ardhi ya Tanzania, viwanja vya jangwani mwaka 1990

Tarehe kama ya leo tajiri na mmiliki wa timu ya Chelsea Roman abromovic anawasili Tanzania kwa ajili ya kupanda mlima kilimanjaro
Alikuja na ndege yake yenye uwezo wa kubeba abiria 200, lakini walikuja watu sita tu, ilitua KIA, ilikuwa mwaka 2009
 
Ahsante sana Mkuu
 

Wanahistpria
........
 

.........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…