Makapuku Forum

Makapuku Forum

Maadam wewe utakuwepo nakuhakikishia ulipo nipo...Tena nikiwa na heshima tele..
malizia mchezo hapo ila usiniangushe this time kaka, amaizing nashukuru sana kwa kumsamehe kijana manuu Kila la kheri
Th Name Come this way naogopa hata kuandika chochote nisije nikaharibu tena hapa...Nashukuru kwa kunisamehe nashukuru sana sasa nimwite nani hapa.. Nahrene ili nisiharibu tena baada ya kupata msamaha huu unadhani nimwite nani sasa jamani..
 
eb5e33b386af8bcf96244747519c36e3.jpg

Huyu jamaa hajapita leo?

......................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom