Kuna pambano moja la Man Utd Vs Arsenal liliitwa Battle of the Buffet 2 " lilifanyika Old Trafford ambapo Arsenal alilala 2-0 na kukatishiwa rekodi yake ya mechi 49 bila kufungwa.
Katika pambano hilo, Gary Neville alitumia muda wake mwingi kumchezea rafu Reyes hali iliyomfanya Wenger kuhoji kwanini Mwamuzi Mike Riley hakumpa red card Gary Neville.