Makapuku Forum

umeniangusha ndugu amaizing alikuwa anaelekea vizuri kabisa sasa ulikosea kumuita dada. Dada maana yake ndugu. Ngoja tutajaribu baadae. Don't panic just relax
Ok si unajua alivyotokea tu na akasema nimeshakuja nilipanic mbaya nikashindwa kujua ni dada angu ama ni nani..Usichoke kamanda tuendelee kupambana hope ataelewa tu..
 
makapuku naona mmetisha bandera inapepea mbaya nguzo ya chuma ,kamba mnyororo naona hata kije kimbunga bendera haitoanguka sio?
tisha mbaya kapuku sisi. Tupo kwenye ubora wetu hakika kapuku oyeeeee
 
Kwani huyo dada yako??
Nahrene si unajua nilipanic ulishawai kumwita poliiiiis kiutani ukijua hatosikia halafu ghafla akasikia akawa anakufuata anasema niambie umeniitia nini...Ndiyo kilichonitokea hapa..Ila wacha nipambane na nifikishie ujumbe kuwa naomba radhi kwa yote na naomba nafasi ingine hakii sintomwita dada tena..
 
Ndo uongee nae sasa akuelewe
kama utaweza
 
hizo mishemishe zinawafanya wawaze kuna umwagiliaji tu mvua no need
πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
Mvua zisiponyesha ukumbuke na vyanzo vya maji vitakauka mkuu, bila mvua no maisha tz
 
makapuku naona mmetisha bandera inapepea mbaya nguzo ya chuma ,kamba mnyororo naona hata kije kimbunga bendera haitoanguka sio?

Kama kambare baba ndevu, mama ndevu na mtoto ndevu. Haijulikani nani mtoto na nani baba@@@ Makapuku tunalisongesha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…