Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Kuna video YouTube ya mtoto anaempenda baba yake ni shiiida. Sasa yule baba pia ni bora ndio maana mtoto unamkubali yani alimuaga karibu dakika 10Hahaha
Mimi ni baba liberal
Kuna video YouTube ya mtoto anaempenda baba yake ni shiiida. Sasa yule baba pia ni bora ndio maana mtoto unamkubali yani alimuaga karibu dakika 10Hahaha
Mimi ni baba liberal
HahahaKuna video YouTube ya mtoto anaempenda baba yake ni shiiida. Sasa yule baba pia ni bora ndio maana mtoto unamkubali yani alimuaga karibu dakika 10
7Hahaha
Yeah i wnt be lyk tht to ma kidz
I thnk i need at least 7,kids
basi uanze sasa, maana vinginevyo wengine watapatikana uzeeniKwa nn!!?7![]()
![]()
basi uanze sasa, maana vinginevyo wengine watapatikana uzeeni
Mama ao upo bado kijana7![]()
![]()
basi uanze sasa, maana vinginevyo wengine watapatikana uzeeni
Watoto 7 mfano wawe na tofauti ya 4@ na kuendelea plus miaka yako si mtu unakuwa kwenye 40's hukoKwa nn!!?
Tulale sasa! Kesho asb mi natakiwa nireportMama ao upo bado kijana
Wana pishana miwili tuuWatoto 7 mfano wawe na tofauti ya 4@ na kuendelea plus miaka yako si mtu unakuwa kwenye 40's huko
Aya clp well my luvTulale sasa! Kesho asb mi natakiwa nireport
Hii nayo kama life sio ya ukweli ke lazima azeekeWana pishana miwili tuu
Nadhan umejipangaHii nayo kama life sio ya ukweli ke lazima azeeke
Sleep well too my lovely binamuAya clp well my luv
Nimekumbuka siku moja wakati naangalia etv ya south Africa, dogo kama huyo alikuwa dj anashusha music
kwenye club
Ukuta ujengwe tu hamna namna
Ntaweka... Vuta subira habibty..Weka picha
Baba sura kama ya wazir mkubwa aliyepita.. Amani ikiwepo hujui, shari huelew... Mtoto hata hela ya xcul anaomba kupitia bimkubwa.Lovely, sio unakuwa kauzu mpaka ukisafiri watoto wananenepa
Katk hao 7 umeanza na wangapi!!?Hahaha
Yeah i wnt be lyk tht to ma kidz
I thnk i need at least 7,kids