Makapuku Forum

Makapuku Forum

1472307182679.jpg
 
Sio inayohusisha kipigo.
Dalili zinaonyesha we ni mpigaji
Ni mtu mstaarabu possible, baba yangu ameishi na mama yangu zaid ya miaka 30,sja wahi ona wame pigana

Yet mama yangu sku wahi ona aki mprovoke baba pia

Na laani kitendo cha mwanaume kupiga mwanamke, lakin nna laani wanawake kufikiri wana immunity ya kuto pigwa na ku wa provoke wanaume, hapo uki chokoza kupigwa kwa kweli ni njia nzuri kabsa ya kuekana sawa
 
Ni mtu mstaarabu possible, baba yangu ameishi na mama yangu zaid ya miaka 30,sja wahi ona wame pigana

Yet mama yangu sku wahi ona aki mprovoke baba pia

Na laani kitendo cha mwanaume kupiga mwanamke, lakin nna laani wanawake kufikiri wana immunity ya kuto pigwa na ku wa provoke wanaume, hapo uki chokoza kupigwa kwa kweli ni njia nzuri kabsa ya kuekana sawa
Kipigo hapana. Sasa kama anakuchokoza si umuache tu yanini kupigana pigana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom