I know...was just teasing her hahahaai kno.
But it was about Beckham
....tangu siku ile nilipofuatwa piem baada ya kumseduce epopaiUmiokoka lini? Hebu weka picha

Diiiih haya bana babaa123....Sio mzoefu wa mambo huyu
Ni mtu mstaarabu possible, baba yangu ameishi na mama yangu zaid ya miaka 30,sja wahi ona wame piganaSio inayohusisha kipigo.
Dalili zinaonyesha we ni mpigaji
Na who??? I hope sio binamu maana nimeshaanza kusikia harufu ya blood....tangu siku ile nilipofuatwa piem baada ya kumseduce epopai![]()
We mkongo nae una maswali ka nini...Wat du yu min?
Sio mzoefu wa mambo huyu

Haya shemeji...Hakuna USA bali ni Usa river
Asenyo wamepata kamoja hatutakunywa maji
Na who??? I hope sio binamu maana nimeshaanza kusikia harufu ya blood

Ka nini???We mkongo nae una maswali ka nini...

Nzuri tuu binamuUna maana gani?
Kipigo hapana. Sasa kama anakuchokoza si umuache tu yanini kupigana piganaNi mtu mstaarabu possible, baba yangu ameishi na mama yangu zaid ya miaka 30,sja wahi ona wame pigana
Yet mama yangu sku wahi ona aki mprovoke baba pia
Na laani kitendo cha mwanaume kupiga mwanamke, lakin nna laani wanawake kufikiri wana immunity ya kuto pigwa na ku wa provoke wanaume, hapo uki chokoza kupigwa kwa kweli ni njia nzuri kabsa ya kuekana sawa