Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Toka mwaka 36 upo utaacha kuzeeka??Hahahaah
Aaah
Uzee huu
Toka mwaka 36 upo utaacha kuzeeka??Hahahaah
Aaah
Uzee huu
Sasa apo una zungumzia mahusiano ya stareheEehee wanaume culture yenu si mnavutiwaga kwanza na physical appearance nyie au nature hiyo imekufa tayari sasa mnapenda uzuri wa ndani kwanza..duuh
Hapana kwakweliHahaha
Kila kesi ina pande mbili mi nawaambieni, kuna time mtu ana kereka ana jikuta mkono usha nyanyuka![]()
HahahaHii kapo kiboko.
Kuna kitu hakipo sawa
HahahahaAnaanzaje sasa kuinua mikono?? Mi nakubali kupigwa busu tu sio tofauti na hapo

....kwanini umeongelea mwonekano???![]()
![]()
![]()
![]()
Walaa!!

Kuna USA ya Arusha pia lakiniHahaha
Hilo swali jaman !!!![]()
Hahaha....kwanini umeongelea mwonekano???![]()
Kuna kengine umisahauAnaanzaje sasa kuinua mikono?? Mi nakubali kupigwa busu tu sio tofauti na hapo

iiih we kupigwa tu? mi hata mtu akionesha dalili ya kunidharau au hata kunitukana...mkataba nauvunja fasta sana wala siumii.Mi sipendi kupigwa. Yani mtu akinipiga basi na uhusiano nao utakuwa umeisha
Sio mzoefu wa mambo huyuHuyu nae ana underground![]()
Umiogopa kusema kweliHahaha
Na mtetea role model wangu
Suluhisho ni kupiga tu?!!Aaah
Na yeye hakutaka kumpiga
Ila sasa alichokozwa angefanyaje!!