Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Diiiiii....I'l stand by my woman no matter what!
Haya chukua chaikanywee mbali huko
Diiiiii....I'l stand by my woman no matter what!
Haya chukua chaikanywee mbali huko
Wat du yu min?Huyu nae ana underground![]()
Hakuna USA bali ni Usa riverKuna USA ya Arusha pia lakini
HahahaaKuna kengine umisahau![]()
Nashukuru haijanitokea maana na imagine mtu ndo unachezea mkong'oto....muwe na huruma basi wanaumeKwanza mtu kama anakupenda hawezi kukupiga
True loveHahaha
I luuv such kind of life yaan dunia hai waelewi alaf nyie mko poa tuu
N jinsi unavo behave ndio na mtu ata ku treat na wewe hvoiiih we kupigwa tu? mi hata mtu akionesha dalili ya kunidharau au hata kunitukana...mkataba nauvunja fasta sana wala siumii.
Cc: Jimena...Like Seriously!!!![]()
![]()
....NOOO Papaa, naweza kuuambia relax, ukalilaksSo roho akijaa msumari unajikunja eee

Kupiga hakuna excusesHahahaha
Ndo maana nka sema mtu anaye behave haez pigwa hata iweje
Hata kama hapendwi ana achwa ki staarabu
Ila kama una payuka payuka una dhani kipga kina epukika hapo!!?
![]()
Itaniponya na mafua haya sasa...huku imeisha.Tabia ya kuomba nimekukataza![]()
![]()
TwajuaAlikuwa bhana
Though s ez bishana na nyie c ndo mnajua nan handsome

Hahahah....NOOO Papaa, naweza kuuambia relax, ukalilaks![]()
Binam kaonyesha msimamo mkali hadi rahaa
Mh!!!....hongereniNamaanisha njia kuu inatosha...afu ni yeye huyo huyo Quigley
