Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
So roho akijaa msumari unajikunja eeeNaongozwa na Roho, so natiisha vyote![]()
So roho akijaa msumari unajikunja eeeNaongozwa na Roho, so natiisha vyote![]()
Mambo ya kupigwa nani anayataka...utotoni nichezee bakora sasa hadi ukubwani nipigwe kha!:Stress, imagine mwanaume unampenda ila kila siku anakukera. Na ukisema unapigwa
Naomba chai...Haaa.
Kwake yeye ndo ana mvuto
Yaan mi ndi napenda watu kama hao
Luv ur woman no matter how the world sees her, no matter even yo parents sees her
Hahahaha
Good boy uyo jamaa
![]()
![]()

HahahaHivi sio hendisamu tena eeh?
Mi sipendi kupigwa. Yani mtu akinipiga basi na uhusiano nao utakuwa umeishaAaa
Sasa na wewe usimprovoke mtu mpaka akupige khaaa!!
Mna tumia vigeo ganiMi nimemuangalia hadi kwa kutumia darubini ila kwakweli halipi

Ndio. Usiniambie ulifikiri ni USA river?USA ya marekani au?
Kwako kwa mikono miwiliMsumari si bado unachoma au![]()
Yeah ndo walimwengu mnavo sema
He will stand by his woman though hehehee
Role model

AaahMambo ya kupigwa nani anayataka...utotoni nichezee bakora sasa hadi ukubwani nipigwe kha!:
Anawe walau miguu
I'l stand by my woman no matter what!Naomba chai...![]()
kanywee mbali hukoWala hata zamani hakuwa handsome Bali alikuwa bishoo tuHivi sio hendisamu tena eeh?
In reality ukiachwa unatulia unakuwa mpole tu if you are worth it huwa wanarudi wenyewe tena mikono miwili, kama saiv nimerudi kwa Quigley maana we umesha reconcille na JimenaAaaah
Yaan kuachwa ni kama kesi ya mauaj kwangu![]()




Hebu weka pichaHahahaa
Kama ame mvutia yeye ina toshaa
More than enough
Ttzo mna angalia upande wa alo pigwaMi sipendi kupigwa. Yani mtu akinipiga basi na uhusiano nao utakuwa umeisha
