Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Aliyelala usimwamsheOhooo kumbe ililetwa
Aliyelala usimwamsheOhooo kumbe ililetwa
Hahaha we mkorofiShkamoo sweet binamu
IiihihihihiWa vimiwani ndio wazuri hao, asa wote walikuwa mateja ndio shida.
DaaahAliyelala usimwamshe
Uamke sasaDaaah
Sasa yamekuwa
HahahaUamke sasa
Thank uKweli nlikuwa nakuwaza
Nilikuwepo kuwakilisha familiaItaletwaje akat mie spo!!?
Hamuna, ni Semegi....namwonea imani hali anayopitia....Muntu ya kongo kuna kitu kinarindima moyoni mwako na hii JJ...hebu fungukapo basii

Ye ndo alisababisha hadi mkewe akaanza kutumiaAaah
Role model wangu huyu ana tumia madawa yet hafi heheheheheeee
Sio rahisi kama unavyofikiriaPoromosha kwangu tu
Ana tabia gani sasa zinazokuvutiaAaah
Kitabia ndo namkubaliii
Kimziki tupa kuleee
Sa unaniamkia unataka kuninyima nini binamu??Shkamoo sweet binamu
Aku...Airtel yatosha
Apo una-mean nini???Aliachwa by the wayHiiiii
Mi ndo namkubali sasa
We ulitaka waendelee ata kama inashndkana!!!
Mweeer!!
Huu ni UCHOCHEZIAsa humiliation gani akat ni mambo ya kawaoda tuu kwenda PM( kwa nia njema)
Bobby ndio alikuwa anamnusisha mpaka mtotoWa vimiwani ndio wazuri hao, asa wote walikuwa mateja ndio shida.