Makapuku Forum

Makapuku Forum

1973 - Dietmar Hamann anazaliwa.

Ni mwanasoka wa zamani wa klabu ya Liverpool na timu ya taifa ya Ujerumani.

Ndiye shujaa aliyebadilisha mchezo baada ya kuingia akitokea Sub, wakati Liverpool ilipokuwa nyuma kwa goli 3 bila katika fainali ya Uefa 2005 dhidi ya Ac Milan.

Kuingia kwake kulibadilisha mchezo na kufanya Liverpool irudishe magoli yote na kushinda fainali ile.
Hii game naikumbuka! Mashabiki wengi wa Liverpool walishakata tamaa na kujiondokea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom