Makapuku Forum

Seriously hii nchi ndio naifahamu leo! nadhani ni kisiwa
 

Nchi ndogo km mkoa wa Dar
.......
 
3, Armenia hii ni moja ya nchi zilizo rudi kwa kasi kwenye masuala ya dini mara baada ya kuvunjika kwa Imoja wa nchi za ki soviet (USSR) miaka ya 1990 huko, historia inasema ufalne wa Armenia, ulikuwa ndo nchi ya kwanza kujutangaza kama nchi ya kirsito mnamo mwaka 301 AD na historia inasema kuwa kanisa la Armenia likianzishwa na Thadeo ba Batholomeo ambao walikuwa ni wanafunzi wa Yesu, watu wana dai kwanza karbu asilimia 93 ni wanadini wazuri, pia wana sema ukiona watu kama waislam au wahindu ni wahamiaj tuu
 
2.Nigerianilipo leta list yangu wakati wakristo wako asilimia 50% na waislam asilimia 48% ni nchi ambayo inadhaniwa pia kuwa na imani za kichawi sana kulko zote dunian lakin ndo hvo , wananchi wake asilimia karbu 93 wana jishughulisha kikamilifu na masuala ya kidini,

Wa naija nyie woote mna wajua sina haja ya ku waongelea sana
 
 
Naskia uchawi uliokomaa wanaupataga Naijeria....
 
1.Ghana asilimia 71,ya wa Ghana ni wa kristo akar 17,ni waislam
Na wananchi wa huko wanaishi kwa amani na inasemekana wao dini huwasaodia kuwa watulivu , asilimia 96% wana shiriki kikamilifu mambo ya dini akati asilimia 2 tuu ndo wana dai hawana tyme na dini , asilimia 2,nyingne wana fanya nusu nusu
 
r
Batholomeo
..........
 

Full Ndumba
.........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…