Makapuku Forum

Makapuku Forum

1471930521498.jpg
1471930529087.jpg
1471930538395.jpg
 
Jamaaaaa alikamatwa ana dawa za kulevya,,,, akaambiwa achague adhabu kati ya kunyongwa, kupigwa risasi, au kupigwa sindano ya virusi vya ukimwi yaan (HIV),,,,,

Jamaa:samahani naomba mtoke nje nfikirie kdogo af nkiwa tyari ntawaiten,,, wakatoka,,

Jamaa :kwa kujiamini kabisa!!! Haya njooni,,,,

Polsi :Mmmmmh tuambie umechagua adhabu gani????

Jamaa :kupigwa sindano ya virusi vya ukimwi,,,,

Polsi 😛ale pale wakampiga jamaaaaa sindano ya virusi vya ukimwi!!!! Haya bhanaaa upo huru,,,,,,,,,

Jamaa :akacheeeeeeeeka,,, HAHAHAHAAAAA,

Polsi :vp mbona unacheka???

Jamaa :mlipotoka nje nilivaa kondomu,,,,,,


..........,..................
 
Jamaaaaa alikamatwa ana dawa za kulevya,,,, akaambiwa achague adhabu kati ya kunyongwa, kupigwa risasi, au kupigwa sindano ya virusi vya ukimwi yaan (HIV),,,,,

Jamaa:samahani naomba mtoke nje nfikirie kdogo af nkiwa tyari ntawaiten,,, wakatoka,,

Jamaa :kwa kujiamini kabisa!!! Haya njooni,,,,

Polsi :Mmmmmh tuambie umechagua adhabu gani????

Jamaa :kupigwa sindano ya virusi vya ukimwi,,,,

Polsi 😛ale pale wakampiga jamaaaaa sindano ya virusi vya ukimwi!!!! Haya bhanaaa upo huru,,,,,,,,,

Jamaa :akacheeeeeeeeka,,, HAHAHAHAAAAA,

Polsi :vp mbona unacheka???

Jamaa :mlipotoka nje nilivaa kondomu,,,,,,


..........,..................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom