KaribuSo leo tuta cheki kumi bora ya watu wanene kuliko woote dunian
So wanakuja kama ifuatavo
Number 4. Terri Smith, kg, 350 View attachment 385863hahaa huyu alikuwa mtu mnene wa kawaida kwani akiwa na miaka 20 alikuwa ana kilo kama 90 hadi 100 hapo, lakin amejikuta ana kuwa mnene bila breki na ana shikiria rekodi ya mtu wa kwanza kuwa mnene zaid kwa kipondi kifupi zaid duniani
Sasa ana miaka kama 55 hvi na ana ishi na mumewe mwenye miaka kama 50 na madokta wakimwambia akiendelea kuwa mnene hvi ana kufa .so ndo ana struggle ku loose weight, na yeye hawezi kukaa, kugeuke waka kutikisa kiungo chchte bila kusaidiwa na haez toka kitandani, lakin ndo ana pigana hvo asikufa
Atakuwa alisha kufa huyu!!
HahahaKWA MENYU HIYO ANAACHAJE KUWA BONGE NYANYA??
Thanks mkuu sjui wendeleaje hukoNzuri sana,pole na wewe
Mweeerunaweza ukaitafuta k ya hawa mademu wabonge kianzia asubuhi mpaka jioni na wala usiipate.
Nawaza tu kwa sauti
Tatizo huyu dogo anakula sanaaNumber 10, Dzhambik Khatokhov,kg 162 View attachment 385847 uyu dogo ana mika 11 na kwao ni Kabardino-Balkaria, Urusi, alizaliwa kawaida kama watt wengne na alikuwa na kilo 3.3 cha kushangaza baada ya mwaka akawa na kilo 14 akiwa na mika mitatu, alijikuta akiweza kunyanyua hata vitu vyenye uzito wa kilo saba kwani alikuwa na kilo 41, wazazi wake wali wambiwa wa hakikishe wana mpa diet maalum na apunguze kula ispo kuwa uji maalum ndio anywe, lakn cha kushangaza mama yake alisema Mungu ndo kamuumba mwanae na kiumbe cha Mungu hiko kiachwe kama kilivo, Sasa ana urefu wa futi 5'2 na ana shkiria rekodi ya kuwa mtt mnene zaid kulko wote duniani na akhera
Weka pichaAhsante lete uhondo
Hivi huyu ana mke kweli???Number 9, Paul Mason. Kg 168 View attachment 385853Paul aliwahi kuwa mtu mnene kuliko wote kwani alikiwa na kilo takriban 504, lakin baada ya kufanyiwa Gastric operation, ndio aka pungua kias hko, lakin pia ana sema yeye hufanya mazoez yanayo ua calori 20,000 kwa siku
Ika yeye unene huo uwa ana itupia lawama wizara ya afya ya uingereza kwani ana dai alipo fikisha kilo 200 hawaku mshauri apungue
Ana umri gani mtoto wakeNumber 5, Donna Simpson, kg 301 View attachment 385860huyu yeye alipenda kabsa kuwa mnene na alitaka afikisge at least kilo 500 ili awe mtu mnebe kulko woote duniani hapo ndo hvoo, alijikuta ana ishia apo, na alifungua website yake ambayo watu wali mlipa na yeye akiwaburudisha kwa kula msosi mwingiii, then alifanikiwa kuwa mwana mke mnene kuliko woite aliye weza kujifungua, na akioata mtt yake na hvo kuingia kwenye vitabu vya rekodi vya Guinnes kama kawa, ila skuiz nme ambiwa ana pungua pungua kwani ana taka amlee mtt wake
Nikienda kumcheki ntawapa info
Szcny unalala sasa hivi my dear...Haya gud nyt wazee