Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,100 Aug 22, 2016 #88,001 Mussolin5 said: 1973 - Bunge la Chile lapiga kura ya kutokuwa na imani na Rais wa nchi hiyo, Salvador Allende. Bunge liliadhimia Rais ajiuzulu ili kupisha uchaguzi mpya, vinginevyo wangetumia nguvu kumuondoa. Click to expand... Watu na mabunge yao
Mussolin5 said: 1973 - Bunge la Chile lapiga kura ya kutokuwa na imani na Rais wa nchi hiyo, Salvador Allende. Bunge liliadhimia Rais ajiuzulu ili kupisha uchaguzi mpya, vinginevyo wangetumia nguvu kumuondoa. Click to expand... Watu na mabunge yao
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,100 Aug 22, 2016 #88,002 Mussolin5 said: 1991 - Federico Macheda anazaliwa. Mchezaji wa zamani wa Man Utd na timu ya taifa ya Italy. Click to expand... Happy birthday Federico
Mussolin5 said: 1991 - Federico Macheda anazaliwa. Mchezaji wa zamani wa Man Utd na timu ya taifa ya Italy. Click to expand... Happy birthday Federico
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,230 Reaction score 68,262 Aug 22, 2016 #88,003 Leo katika Historia: Kwa udhamini mnono wa 88k, sina la ziada. Karibu JJ kwa magazeti. Byeee....
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,100 Aug 22, 2016 #88,004 Mussolin5 said: Leo katika Historia: Kwa udhamini mnono wa 88k, sina la ziada. Karibu JJ kwa magazeti. Byeee.... Click to expand... Shukrani sana kwa historia
Mussolin5 said: Leo katika Historia: Kwa udhamini mnono wa 88k, sina la ziada. Karibu JJ kwa magazeti. Byeee.... Click to expand... Shukrani sana kwa historia
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,100 Aug 22, 2016 #88,005 Kwa udhamini wa Bale twende tuyatazame magazeti yetu ya Leo
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,100 Aug 22, 2016 #88,014 Kwa udhamini mkubwa kabisa wa BALE ndio tunafikia mwisho kabisa katika kuangalia kurasa za mbele na nyuma za magazeti haya yaliyotufikia kwenye meza yetu asubuhi ya Leo. Niite Jimena Jimenes muwe na siku njema na wiki yenye mafanikio
Kwa udhamini mkubwa kabisa wa BALE ndio tunafikia mwisho kabisa katika kuangalia kurasa za mbele na nyuma za magazeti haya yaliyotufikia kwenye meza yetu asubuhi ya Leo. Niite Jimena Jimenes muwe na siku njema na wiki yenye mafanikio
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,632 Aug 22, 2016 #88,015 Mussolin5 said: Leo katika Historia: 1902 - Kampuni ya magari ya Cadillac yaanzishwa huko Marekani. Click to expand...
Mussolin5 said: Leo katika Historia: 1902 - Kampuni ya magari ya Cadillac yaanzishwa huko Marekani. Click to expand...
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Aug 22, 2016 #88,016 Mussolin5 said: Leo katika Historia: 1902 - Kampuni ya magari ya Cadillac yaanzishwa huko Marekani. Click to expand... Walianza zamani wenzetu...sie huku bongo tunatamba na Vitsi tu
Mussolin5 said: Leo katika Historia: 1902 - Kampuni ya magari ya Cadillac yaanzishwa huko Marekani. Click to expand... Walianza zamani wenzetu...sie huku bongo tunatamba na Vitsi tu
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Aug 22, 2016 #88,017 Mussolin5 said: 1961 - Ida Siekmann anafariki alipojaribu kuvuka ukuta wa Berlin. Click to expand... Walifariki wengi sana. R.I.P
Mussolin5 said: 1961 - Ida Siekmann anafariki alipojaribu kuvuka ukuta wa Berlin. Click to expand... Walifariki wengi sana. R.I.P
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,632 Aug 22, 2016 #88,018 Mussolin5 said: 1959 - Althea Gibson anakiwa mchezaji wa kwanza mweusi kushindana katika mchezi wa Tennis katika nyanja ya kimataifa. Click to expand...
Mussolin5 said: 1959 - Althea Gibson anakiwa mchezaji wa kwanza mweusi kushindana katika mchezi wa Tennis katika nyanja ya kimataifa. Click to expand...
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Aug 22, 2016 #88,019 Jimena said: Alikuwa anaenda wapi na yeye?? Click to expand... Hata mimi nimejiuliza hilo...
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,100 Aug 22, 2016 #88,020 Sweetiepie said: Hata mimi nimejiuliza hilo... Click to expand... Imagine mpaka amekufa