Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Watu na mabunge yao1973 - Bunge la Chile lapiga kura ya kutokuwa na imani na Rais wa nchi hiyo, Salvador Allende.
Bunge liliadhimia Rais ajiuzulu ili kupisha uchaguzi mpya, vinginevyo wangetumia nguvu kumuondoa.
