Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,246
aisee kumbe ndiyo hivi...basi uzee kazi!!Yaani kaacha kula pensheni anataka ale kick
Samtaimu kuna mazee mapumbavu kumzidi mbuzi
Ndio maana niliwahi kuandika DONGO KWA WAZEE hapa CC
.............

Ushalala nini?We shangaa shangaa tu...![]()
Hajabana mtu, sema mko bizeWametubania
Mwambie aje aimalizie ile hadithi basi na kama hana bundle amuone rais wa maselaYupo shamba
Vita wanapigana na nani
Hajatembea na pcMwambie aje aimalizie ile hadithi basi na kama hana bundle amuone rais wa masela


Jonaxni kama homa za vipindi!!Halafu huyu jonax aliishia wapi jamani?
Ili wewe ufanyeje?Mulale...kha!!
xx
Anavuna machenza.Yupo shamba
AnhaaaIpo
Conspiracy = means agreement btn two people or more to do a lawful act or unlawful act for unlawful means
Simply ni kula njama
.....................
sawa katibu
Weka picha
Classy ladyMi maswala ya kuitana itana majina kama tuko shule au kwenye bendi ndo siyataki.
Kama huna neno la kusema kalale
Kuhusu uzee it's your problem not mine
