Makapuku Forum

Makapuku Forum

Its ok then...
Kwani niliwahi kukukosea wapi?
How comes u hate someone with no any reason? Au ni kwasababu ni mzee? We unadhani utakuwa kijana miaka yako yote? Au unadhani ujana wangi sikujamiika vya kutosha?
Mi maswala ya kuitana itana majina kama tuko shule au kwenye bendi ndo siyataki.
Kama huna neno la kusema kalale
Kuhusu uzee it's your problem not mine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom