Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Leo nimeumia macho kesho ntajaribu nione kama kweli.
Leo nimeumia macho kesho ntajaribu nione kama kweli.
Sipendi hesabu
PopobawaMi naweza ota uso wa mtu hata Simjui bhaana...
.Imani tuLazma Alienswatakuwemo humoo...
Siipendi na naona hai apply hata kwenye maisha yangu kivile naona poa tu.Kasomee taarabu
![]()
![]()
![]()
.............
Sikuwahi kuipenda Biology japo sikufeli.......yaani kufundishwa Funza ,fungus n.k nilikuwa naona kichefuchefu na practical tunawasha stove km vile tunajipikilishaSiipendi na naona hai apply hata kwenye maisha yangu kivile naona poa tu.


Haha mimi Chemistry, Biology, Physics na Hesabu inshort sikuyapenda. Nikaja kupenda masomo ya biashara tu angalau hesabu zake haziumizi sana.Sikuwahi kuipenda Biology japo sikufeli.......yaani kufundishwa Funza ,fungus n.k nilikuwa naona kichefuchefu na practical tunawasha stove km vile tunajipikilisha
![]()
![]()
![]()
...............
Hesabu siyo ngumu wala nini nilikuwa nalala tu sismi wala kufanya exercise ikifika pepa nakariri formula za statistics n.k halafu natisua tuHaha mimi Chemistry, Biology, Physics na Hesabu inshort sikuyapenda. Nikaja kupenda masomo ya biashara tu angalau hesabu zake haziumizi sana.
We nawe shule ulikuwa mkorofiSikuwahi kuipenda Biology japo sikufeli.......yaani kufundishwa Funza ,fungus n.k nilikuwa naona kichefuchefu na practical tunawasha stove km vile tunajipikilisha
![]()
![]()
![]()
...............
Mi nipoJimena, Binamu (Szny), Quigley, Shululu, Mussolin 5, Briz..hawa watu mmeenda wapi leo? au ndio mambo ya weekend![]()
Wewe ni Jiniazi mimi nilikuwa kilaza wa hesabu. Ila kusema ukweli masomo niliyokuwa natusua sana ni Geography, History na English. Civics O level nilitusua sana nayo.Hesabu siyo ngumu wala nini nilikuwa nalala tu sismi wala kufanya exercise ikifika pepa nakariri formula za statistics n.k halafu natisua tu
Watu tunatofautiana
............
Missing you so so....Mi nipo
Weka basi old is ever GoldWewe ni Jiniazi mimi nilikuwa ****** wa hesabu. Ila kusema ukweli masomo niliyokuwa natusua sana ni Geography, History na English. Civics O level nilitusua sana nayo.
Mbona wameiwekea nyote nyota hiyo post yangu?? kwani Kilaza ni tusi?Wewe ni Jiniazi mimi nilikuwa ****** wa hesabu. Ila kusema ukweli masomo niliyokuwa natusua sana ni Geography, History na English. Civics O level nilitusua sana nayo.
Nimerudi na binamu pia nimekuja naeMissing you so so....

...Namaste
