Makapuku Forum

Makapuku Forum

Huyu alichukia wadada kwanini?? matatizo ya akili, serial killer...au pengine alitendwa na binti aliyempenda sana (aliachwa)...maana nilifuatiliaga mahojiano (documentary) ya serial killer flani hivi...akasema alikua anaua wanawake maana mama yake mzazi hakuwa anamjali wala kumsikiliza tangu akiwa mdogo...ikapelekea akawa hajiamini tena na akaona maisha hayana thamani kwake tena ikampelekea kuchukia wanawake. Mbona nilichoka mwenyewe. Aliua Jumla ya wanawake kama 20 hivi ndani ya mji mmoja huko Marekani mwa miaka ya 80.
Maranyingi husababishwa na matatizo ya Saikolojia.
 
1471785236666.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom