shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Ubaya wake nini tenaMbayaaaa
Ubaya wake nini tenaMbayaaaa
Nani amekuacha?Meachika jana usiku....![]()
I've got nothing to loose, absolutely nothing.....Hakika jimena atakuvunja kiuno na atamwendea briz, nami namrudia mjazito wangu, hasara unayoooo![]()
![]()
![]()
Atarudi tu, inawezekana ule ulikuwa mkwala tuMeachika jana usiku....![]()
Ni shiidaHaha
Washa anza zengwe hao
Zitakuwaje mbaya wakat u hve got nothing to loose!!!I've got nothing to loose, absolutely nothing.....
Sina tatizo maana nampata mwingine dakika 0 tu...Atarudi tu, inawezekana ule ulikuwa mkwala tu

leo....


Umeshaaamka kumbe??Zitakuwaje mbaya wakat u hve got nothing to loose!!!
Cc werrasonSina tatizo maana nampata mwingine dakika 0 tu...leo....
![]()









Baba 123....sijui nani atakuwa 4 this time...Umeshaaamka kumbe??


Lazma umeniota leo sio bureeUmeshaaamka kumbe??
Na maji ya kuoga tayari nimepewa, sasa navaa niende ibadani kufanya tobaUmeshaaamka kumbe??
Mimi nilishafanya toba tangu jana usiku... kwa kusneak around na mume wa mtu, umenidanganya kipindi mkeo ana mimba...mwanaume hufai wewe bora wakupeleke Dodoma tu wewe...Na maji ya kuoga tayari nimepewa, sasa navaa niende ibadani kufanya toba


Unamdanganya nani wakati ulishamwibia jimena tayari!Sina tatizo maana nampata mwingine dakika 0 tu...leo....
![]()

Mimi naangalia tuMimi nilishafanya toba tangu jana usiku... kwa kusneak around na mume wa mtu, umenidanganya kipindi mkeo ana mimba...mwanaume hufai wewe bora wakupeleke Dodoma tu wewe...![]()
Hahaha dodoma naenda kuwekeza tu, mambo yangu huyawezi nawe ni shahidi, ntaendelea kuwa juu, na wajua vyema mimi ndo sukari yenu, ukiondoka akikatiza mrembo nimtakae sec namdakaMimi nilishafanya toba tangu jana usiku... kwa kusneak around na mume wa mtu, umenidanganya kipindi mkeo ana mimba...mwanaume hufai wewe bora wakupeleke Dodoma tu wewe...![]()
