Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Hahaha tumepewa kiherehere but atablooo mapigo ya lema na vija wa chuga waliopinda watakomaa nae, yangu macho mkuuEeeh
Kaka habat za mji wa mrisho gambo!!?
Hahaha tumepewa kiherehere but atablooo mapigo ya lema na vija wa chuga waliopinda watakomaa nae, yangu macho mkuuEeeh
Kaka habat za mji wa mrisho gambo!!?
Hakika ninampenda123 kwa roho yangu yooote![]()
![]()
![]()
![]()
1
2
3
Wewe
4
HahahahSio vitisho ni MAAAMUZI MAGUMU
Mmewe briz
Hahaha bro sasa hiyo ni wish au nn!!?
Tulia kijana naona karoho kanadundaaaDaaahNdio na iliigiziwa kwenye ufukwe huo huo.
HahahaHahaha tumepewa kiherehere but atablooo mapigo ya lema na vija wa chuga waliopinda watakomaa nae, yangu macho mkuu
AhsanteeeeHakika ninampenda123 kwa roho yangu yooote
Hahaaa![]()
![]()
![]()
Tulia kijana naona karoho kanadundaaa
Briz ni my best friend na tumepanga kwenda Puerto Rico na tutafika mpaka The dead beach (Israel) tukirudi sasa ndo tutaenda ngorongoro kama ulivyoshauri na nahisi kwa wakati huo hata wenzetu wa Mtera watakuwa wamesharejeaHskika, kwanza mtalaka hatongozwi, kuanzia sasa namfukuza sweetipie, na nyumba na gari namnyang'anya, narudisha mapenzi kwa mpenzi wangu niliye mfungua kifuniko.
Unaonaje tu arrange tour ya ngorongoro hadi serengeti wewe pamoja na mmeo briz!![]()
Nawe pia mkuuJamani nawapenda wote, nalala wakuu
Majigambo sana kama ya mulongo.Hahaha
Mi nasubiri kaka, il mchiz anaonekana akili anayo sema kunywa maji ya kijani ndo kume muathiri
HiiiiiBriz ni my best friend na tumepanga kwenda Puerto Rico na tutafika mpaka The dead beach (Israel) tukirudi sasa ndo tutaenda ngorongoro kama ulivyoshauri na nahisi kwa wakati huo hata wenzetu wa Mtera watakuwa wamesharejea
Halihitaji ruhusa bali inatakiwa uanze tu safari yako niliyoruhusu ili nami nimalizieHiiiii
Hilo sja ruhusu
Briz ni my best friend na tumepanga kwenda Puerto Rico na tutafika mpaka The dead beach (Israel) tukirudi sasa ndo tutaenda ngorongoro kama ulivyoshauri na nahisi kwa wakati huo hata wenzetu wa Mtera watakuwa wamesharejea
Pamoja sana, na mpenzi 123 atakuwa amejifungua mtoto wetu mtarajiwa ,( jimena)Tatizo ya zamani sana mi natamani kuiona tenaDaaah
Skuwaga najua lugha vzuri kpind hko halaf nadhani ilipooza sana
Lakin ulinruhusu kiroho safi, tofaut na unavo sema nowHalihitaji ruhusa bali inatakiwa uanze tu safari yako niliyoruhusu ili nami nimalizie
Usiku mwema kwakoJamani nawapenda wote, nalala wakuu
Time will tellMajigambo sana kama ya mulongo.
Uongozi na mahesabu
Unatakiwa kucheza na akili za watu.
Leo nilikuwa napiga stori na kigogo flani wa ccmuu, anamponda sana gambweeee, kuwa hafai kwa chumvi wala sukari...cicemi mengi acha muda useme
Usiku mwema kwako
