Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Hehehehehe mbona unajaribu kujitetea sana kwani nani kabisha??Haha
Umizoea mpaka paitwe jangwani beach, girraffe ovean view.
Hahah try sthing new ndo unapata raha, thts what i was tryn to suggest



Hskika, kwanza mtalaka hatongozwi, kuanzia sasa namfukuza sweetipie, na nyumba na gari namnyang'anya, narudisha mapenzi kwa mpenzi wangu niliye mfungua kifuniko.Let them go.....
Kisha we utamcall Pattience123 myajenge mi na briz tumeamua tutaenda kupumzika Puerto Rico maana atakuwa amemaliza Project ndefu sasa atahitaji mapumziko

Hahahahahaha hata Jiki tumia mi wala sina nenoSasa Mtera ntaoga na shower Gel ya limau Asap...shombo la perege lote litapotea tu...![]()
123 analijua hilo, na hata sasa nimempa taarifa kuwa leo ntaenda kupeti mimbake ndo safaru ya kimojaaa kwa mpenzi wanguHahaha....mie spare taili kuuuumbeeee...muone. 123 uko waaaapiiiii!!!!!
HaaaHakika jimena atakuvunja kiuno na atamwendea briz, nami namrudia mjazito wangu, hasara unayoooo![]()
![]()
![]()
Sio vitisho ni MAAAMUZI MAGUMUHaaa
Mbona mmeanza vitisho tena!!
HahahaSasa Mtera ntaoga na shower Gel ya limau Asap...shombo la perege lote litapotea tu...![]()
Ndio na iliigiziwa kwenye ufukwe huo huo.Hvi kuna tamthilia ilikuwa ina utwa acapulco bay !!?
Maana kama nakumbuka hvi
EeehU mzima lakin ndg yangu!
Nawe piaUsiku mwema nyote! huu muda sio rafiki kwangu nasinzia... musali kabla hamjalala.![]()
Hahaha....mie spare taili kuuuumbeeee...muone. 123 uko waaaapiiiii!!!!!
Nawe unasali ni mwizi wa binamu wa jimenaUsiku mwema nyote! huu muda sio rafiki kwangu nasinzia... musali kabla hamjalala.![]()

Mwambie huyoHahahahahaha hata Jiki tumia mi wala sina neno
HaaaaAnahusika vizuri tu
Poa gud nytUsiku mwema nyote! huu muda sio rafiki kwangu nasinzia... musali kabla hamjalala.![]()
Mmewe brizHskika, kwanza mtalaka hatongozwi, kuanzia sasa namfukuza sweetipie, na nyumba na gari namnyang'anya, narudisha mapenzi kwa mpenzi wangu niliye mfungua kifuniko.
Unaonaje tu arrange tour ya ngorongoro hadi serengeti wewe pamoja na mmeo briz!![]()