Makapuku Forum

Makapuku Forum

Dodoma bado haujajengwa sana kuweza kutoa huduma zote kama Dar Es salaam.
Vyanzo vya maji ni changamoto sana,ni chumvi kwa wingi.
Kuna Mzee moja Balozi alisema walifikiria hadi kuweka Balozi yao Iringa kwasababu iko Jirani na Dom na masaa machache tu kusafiri. Sasa sijui wameishia wapi.
Meanwhile Dodoma Inatengenezwa huduma nyngi mbadala zitafuatwa Iringa.
 
Dodoma bado haujajengwa sana kuweza kutoa huduma zote kama Dar Es salaam.
Vyanzo vya maji ni changamoto sana,ni chumvi kwa wingi.
Kuna Mzee moja Balozi alisema walifikiria hadi kuweka Balozi yao Iringa kwasababu iko Jirani na Dom na masaa machache tu kusafiri. Sasa sijui wameishia wapi.
Meanwhile Dodoma Inatengenezwa huduma nyngi mbadala zitafuatwa Iringa.
Hapa sasa ndio nimekupata vizuri kabisa
 
Dodoma bado haujajengwa sana kuweza kutoa huduma zote kama Dar Es salaam.
Vyanzo vya maji ni changamoto sana,ni chumvi kwa wingi.
Kuna Mzee moja Balozi alisema walifikiria hadi kuweka Balozi yao Iringa kwasababu iko Jirani na Dom na masaa machache tu kusafiri. Sasa sijui wameishia wapi.
Meanwhile Dodoma Inatengenezwa huduma nyngi mbadala zitafuatwa Iringa.
Ni sahihi kabisa
 
Hapa sasa ndio nimekupata vizuri kabisa

Itachukua mda kidogo kujenga Dodoma,
Hasa ukiangalia Dar imejengwa sana na watanzania, serikali ,wawekezaji na hata mkoloni aliiacha hivyo.
Sasa mpaka Dodoma Iwe kama Dar nguvu ya serikali pekee haitawezekana hasa ukiangalia Uchumi haujakaa vizuri sana. Bado tupo kwenye Transition.
 
Dodoma bado haujajengwa sana kuweza kutoa huduma zote kama Dar Es salaam.
Vyanzo vya maji ni changamoto sana,ni chumvi kwa wingi.
Kuna Mzee moja Balozi alisema walifikiria hadi kuweka Balozi yao Iringa kwasababu iko Jirani na Dom na masaa machache tu kusafiri. Sasa sijui wameishia wapi.
Meanwhile Dodoma Inatengenezwa huduma nyngi mbadala zitafuatwa Iringa.
Maelezo safiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom