Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
HahahahaMbona mi huwa navaa nguo nyeupe naenda nazo hadi mabibo Beach??
Keith Sweet ana sauti aisee...taratiibu kabisa.Mi huyo jamaa namkubali sanaa
Kwanza ana sauti nzuri sana na pia anajua kuitumia vyema sauti yake.
Na ana maneno mazuri mno yale ya kumtoa nyoka pangoni
Itachukua kama miaka 50 ijayoItachukua mda kidogo kujenga Dodoma,
Hasa ukiangalia Dar imejengwa sana na watanzania, serikali ,wawekezaji na hata mkoloni aliiacha hivyo.
Sasa mpaka Dodoma Iwe kama Dar nguvu ya serikali pekee haitawezekana hasa ukiangalia Uchumi haujakaa vizuri sana. Bado tupo kwenye Transition.
Usjalo kaka she z great kwenye hayo mamboI can tell,
Nimekosa uhondo mwingi kwa kweli.
Dodoma kinachonikera ni kama Jangwa...ukiishi kule unakuwa kama vumbi tu.Itachukua kama miaka 50 ijayo
Nieleweshe vizuri sasaHahaha
Ume muelewa vbaya tena
Uko Dom?
Vere vereHow deep is ur luv!!?
Halafu Dom nako hali ya hewa hailipiItachukua mda kidogo kujenga Dodoma,
Hasa ukiangalia Dar imejengwa sana na watanzania, serikali ,wawekezaji na hata mkoloni aliiacha hivyo.
Sasa mpaka Dodoma Iwe kama Dar nguvu ya serikali pekee haitawezekana hasa ukiangalia Uchumi haujakaa vizuri sana. Bado tupo kwenye Transition.
Eeeh hali ya hewa Dodoma ni changamoto.Halafu Dom nako hali ya hewa hailipi
Kwani we hautakuwepo?? Briz lazima awepo maana mara ya kwanza ndio tulikesha wote pamoja na mandelaaAaaaa
Kama na briz yupo, hiyo kitu haipoo
Bado unaendelea uhondo huo hivyo hujachelewaI can tell,
Nimekosa uhondo mwingi kwa kweli.
Studio yake ni dhahabu za kale tuI can tell,
Nimekosa uhondo mwingi kwa kweli.
Inategemea na nini??Hahahaha
It depends pia mam
Werrason karibu
Au hata 100Itachukua kama miaka 50 ijayo