Makapuku Forum

Makapuku Forum

Itachukua mda kidogo kujenga Dodoma,
Hasa ukiangalia Dar imejengwa sana na watanzania, serikali ,wawekezaji na hata mkoloni aliiacha hivyo.
Sasa mpaka Dodoma Iwe kama Dar nguvu ya serikali pekee haitawezekana hasa ukiangalia Uchumi haujakaa vizuri sana. Bado tupo kwenye Transition.
Itachukua kama miaka 50 ijayo
 
1471716191025.jpg

Bocco dk ya 90+4
Refa kachezesha dk 98
.................................
 
Itachukua mda kidogo kujenga Dodoma,
Hasa ukiangalia Dar imejengwa sana na watanzania, serikali ,wawekezaji na hata mkoloni aliiacha hivyo.
Sasa mpaka Dodoma Iwe kama Dar nguvu ya serikali pekee haitawezekana hasa ukiangalia Uchumi haujakaa vizuri sana. Bado tupo kwenye Transition.
Halafu Dom nako hali ya hewa hailipi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom