Makapuku Forum

Makapuku Forum

Number 7, Saudia Flight 163 – 30, walifariki
1471453487750.jpg
19 August 1980, ndio ndege hii ilipopata janga hilo
Inasemekana kuwa wakati ndege iko angani kuna mmoja wa mahujaji wa kutoka pakistan alikuwa akichemsha chai kwenye butan stove na ndiposa moto uka kama kuanzia kwenye sehem ya kuhifadhi mizigo na wakati marubani walipo hisi kuna kitu kina waka hapo wali omba wafanya kushuka kwa emergemce uwanja wa ndege wa Riyadh, na kweli walikubaliwa
Lakini ndege ilipo shuka haikusimama pale ambapo zima moto walihisi ita simama hivo na kufanya wachelwe kuifikia takriban dakika 5,na kitu, baada ya kushuka ndege hiyo , watu wa zima moto hawaku isogelea kwani injini ilikuwa haija zimwa na ilichukua kama dakika 10,na zaid kuzima, wakati ilpo kwisha zimwa tuu, injinia mmoja alienda karibu na mlango kuufungua kwani marubani hawakuwa wamefungua, ndege hiyo ililipuka hapo hapo
Sasa wakati wa uchunguzi wa maiti iligundulika kuwa ni watu waili tuu ambao ni mainjinia walikifa kwa mlipuko ika wengine wote walikufa dakika 23,kabla, hivo ina aminika kuwa abiria hao walifariki kwa moshi mda ambao watu wa fire walikuwa wakiifuata ndege na wakisubiri injini ifike, na kwa kuwa abiria wote mabaki yao yalikutwa kwenye nusu ya mbele ya ndege walithibitisha kuwa moshi ndio uliwaua na si moto

Hawa walikufa kifo cha mateso zaid nadhan kuliko ajali nyngne
 
Number 8, Iran Air Flight 655 – 290,walifarikiView attachment 3833733/7/1988 ndege hii ya aburia ambayo ilikuwa inatoka Iran kuwanda Abu Dhabi huko Dubai, ndege hii ilitunguliwa kimakosa na meli za kivita za ki marekani kutokana na mawasiliano kutokuwa mazuri baina ya mamlaka ya anga ya Iran, marubani wa ndege na jeshi la marekani , wakati ndege hiyo iki ondoka ilo kuwa ikitumia IFF squawks ya Mode III (na siyo Mode II used inayo tumika na majeshibya angabya Irani) ambayo ni ya ndege za kawaida, kwa hiyo wakati wana jeshi wa marekani walipi iona walifikiri kuwa ni ndege ya kijeshi aina ya F-14s, ambayo walitaarifiwa imebeba na makombora na vifaa vya maangamizi, wakati walipo wa brief watu wa Iran walisema hawaitambui ndege hiyo, na walipo wasiliana na rubani wa ndege hakujibu kitu kwa kuwa yeye alitumia Mode III na wao mode II hivo ni hakika hakuskia chochote, ndipo wana maji wa marekani walipo itungua wakidhani ni kiburi cha rubani, na kuua watu hao 290, hapo hapo marekani hawakuoma msamaha wowote kwani wakisema wao hawakajua na ni misscommunications tuu ndo zli sababisha ,
Baadaye mwaka 1995 mahakama ya kimataifa ya haki ,iliamuru marekani walipe fidia kwa kila familia ilo poteza maisha dola za kimarekani milioni 2.4
Na ndio ukawa mwisho hapo
Duuh hatari mkuu
 
Number 8, Iran Air Flight 655 – 290,walifarikiView attachment 3833733/7/1988 ndege hii ya aburia ambayo ilikuwa inatoka Iran kuwanda Abu Dhabi huko Dubai, ndege hii ilitunguliwa kimakosa na meli za kivita za ki marekani kutokana na mawasiliano kutokuwa mazuri baina ya mamlaka ya anga ya Iran, marubani wa ndege na jeshi la marekani , wakati ndege hiyo iki ondoka ilo kuwa ikitumia IFF squawks ya Mode III (na siyo Mode II used inayo tumika na majeshibya angabya Irani) ambayo ni ya ndege za kawaida, kwa hiyo wakati wana jeshi wa marekani walipi iona walifikiri kuwa ni ndege ya kijeshi aina ya F-14s, ambayo walitaarifiwa imebeba na makombora na vifaa vya maangamizi, wakati walipo wa brief watu wa Iran walisema hawaitambui ndege hiyo, na walipo wasiliana na rubani wa ndege hakujibu kitu kwa kuwa yeye alitumia Mode III na wao mode II hivo ni hakika hakuskia chochote, ndipo wana maji wa marekani walipo itungua wakidhani ni kiburi cha rubani, na kuua watu hao 290, hapo hapo marekani hawakuoma msamaha wowote kwani wakisema wao hawakajua na ni misscommunications tuu ndo zli sababisha ,
Baadaye mwaka 1995 mahakama ya kimataifa ya haki ,iliamuru marekani walipe fidia kwa kila familia ilo poteza maisha dola za kimarekani milioni 2.4
Na ndio ukawa mwisho hapo
Hii kali sasa
 
Number 6, Air India Flight 182 – 329,walifariki
1471454492769.jpg
23 June, 1985, ndge hii ililipuliwa na bom na kundi la
Sikh militant liitwalo Babbar Khalsa,
Kwa kiwa skuepo kwenye hyo ndge mi sjui kiliwatokea nn ila we ujue ni bomu ndo liliwaua hawa raiaa
 
Number 7, Saudia Flight 163 – 30, walifariki View attachment 383376 19 August 1980, ndio ndege hii ilipopata janga hilo
Inasemekana kuwa wakati ndege iko angani kuna mmoja wa mahujaji wa kutoka pakistan alikuwa akichemsha chai kwenye butan stove na ndiposa moto uka kama kuanzia kwenye sehem ya kuhifadhi mizigo na wakati marubani walipo hisi kuna kitu kina waka hapo wali omba wafanya kushuka kwa emergemce uwanja wa ndege wa Riyadh, na kweli walikubaliwa
Lakini ndege ilipo shuka haikusimama pale ambapo zima moto walihisi ita simama hivo na kufanya wachelwe kuifikia takriban dakika 5,na kitu, baada ya kushuka ndege hiyo , watu wa zima moto hawaku isogelea kwani injini ilikuwa haija zimwa na ilichukua kama dakika 10,na zaid kuzima, wakati ilpo kwisha zimwa tuu, injinia mmoja alienda karibu na mlango kuufungua kwani marubani hawakuwa wamefungua, ndege hiyo ililipuka hapo hapo
Sasa wakati wa uchunguzi wa maiti iligundulika kuwa ni watu waili tuu ambao ni mainjinia walikifa kwa mlipuko ika wengine wote walikufa dakika 23,kabla, hivo ina aminika kuwa abiria hao walifariki kwa moshi mda ambao watu wa fire walikuwa wakiifuata ndege na wakisubiri injini ifike, na kwa kuwa abiria wote mabaki yao yalikutwa kwenye nusu ya mbele ya ndege walithibitisha kuwa moshi ndio uliwaua na si moto

Hawa walikufa kifo cha mateso zaid nadhan kuliko ajali nyngne
Chai ili7bisha maskini
 
Number 7, Saudia Flight 163 – 30, walifariki View attachment 383376 19 August 1980, ndio ndege hii ilipopata janga hilo
Inasemekana kuwa wakati ndege iko angani kuna mmoja wa mahujaji wa kutoka pakistan alikuwa akichemsha chai kwenye butan stove na ndiposa moto uka kama kuanzia kwenye sehem ya kuhifadhi mizigo na wakati marubani walipo hisi kuna kitu kina waka hapo wali omba wafanya kushuka kwa emergemce uwanja wa ndege wa Riyadh, na kweli walikubaliwa
Lakini ndege ilipo shuka haikusimama pale ambapo zima moto walihisi ita simama hivo na kufanya wachelwe kuifikia takriban dakika 5,na kitu, baada ya kushuka ndege hiyo , watu wa zima moto hawaku isogelea kwani injini ilikuwa haija zimwa na ilichukua kama dakika 10,na zaid kuzima, wakati ilpo kwisha zimwa tuu, injinia mmoja alienda karibu na mlango kuufungua kwani marubani hawakuwa wamefungua, ndege hiyo ililipuka hapo hapo
Sasa wakati wa uchunguzi wa maiti iligundulika kuwa ni watu waili tuu ambao ni mainjinia walikifa kwa mlipuko ika wengine wote walikufa dakika 23,kabla, hivo ina aminika kuwa abiria hao walifariki kwa moshi mda ambao watu wa fire walikuwa wakiifuata ndege na wakisubiri injini ifike, na kwa kuwa abiria wote mabaki yao yalikutwa kwenye nusu ya mbele ya ndege walithibitisha kuwa moshi ndio uliwaua na si moto

Hawa walikufa kifo cha mateso zaid nadhan kuliko ajali nyngne
Huu sasa uzembe... Kwani chai si angesubiri kupewa jamani mpaka achemshe mwenyewe??
 
Number 5, Ermenonville air disaster–346,walifariki
1471455013247.jpg
mnamo tarehe 3 March 1974, kijana mmoja alianza kazi huko uwanja wa ndege wa uturuki na alianza kazi kama mfanya kazi wa kupakia mizigo kwenye ndege na ndege yake ya kwanza kuanza kaz ilikuwa ni Turkish Airlines Flight 981, iliyo kuwa inaelekea uingereza, lakin kwa kuwa hakujua vzuri either kituruki au ki inglish hakusoma maelekezo vzuri jinsi ya kufunga mlango kwenye bonet ya kubebea mizigo
Wakati ndege ina toka uturuki, ilipitia paris, na kuwachukua watu 50 zaid na wakati ndege ikikaribia kufika huko u heathrow uwanja wa ndege wa London, buti ya mizigo, kutokana na loki kuwa ilikaa vibaya ilifunguka ,ndege ikiwa zaid ya mita 23000 angani, kwanza watu 6 walikuwa kwenye mizigo walitupwa mpaka chini , na miili yao ilikutwa kilo mita kama 20 kutoka ilipo angukia ndege, na kwakuwa ndege ilianza kuingiza hewa na kusababisha milipuko, marubani walishindwa ku i control na hivo kuanguka huko emoniville, japo wanasema tangu hapo ilibidi warahisishe ufungaji wa buti ya mizigo na waweke lugha nyingi kadri wawezavyo za maelekezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom