Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Joe - I Wanna Know: Jimenna kuna mtu anahitaji kujua who makes you cry...naye ni Joe Thomas 





Mbona nimejaribu naona chenga tu. Ila mpaka nitawezaKa ushare sehem ili upate link then kopi, then ulete hapa
Acha uchochezi....Amemdediketia binam kha!
Alaf thanks umenifundshaga mambo mengi sanaMi huwa naenda you tube nashare video kisha naileta hapa
DuuuhNdio
Kanywe basi konyagi hapo bar ya jirani waambie bill ntalipa mimi ili yaishehahaha...kwani mimi nimeulizia matokeo ya Yanga?
Hahaha kumbe simple hiviHahahaa
Umeweza bhana
Hatareee
Joe - I Wanna Know: Jimenna kuna mtu anahitaji kujua who makes you cry...naye ni Joe Thomas![]()
RIP JumbeNUKUU NO 2#
Nchi zetu hazina budi kuangalia kuwa bahari ya hindi haiwi mahari pa migogoro baina ya mataifa ;ila iwe na amani ili kuzidisha biashara na ushilikiano wa kibiashara Kati ya India na Zanzibar ulioanza zamani sana na lazima ufufuliwe.
Maneno haya yalisemwa na aliyekuwa Rais wa India, Varahagiri Venkate Giri, wakati wa karamu rasmi aliyoandaliwa na aliyekuwa mwenyeji wake,Rais wa Zanzibar na makamu wa kwanza wa Rais, Aboud Jumbe, Zanzibar Nov 14,1972. Varahagiri Venkate Giri alizaliwa Agosti 10,1894 na kufariki Dunia Juni 23,1980.
Alikuwa Rais wa nne wa jamhuri ya India kuanzia Agosti 24 1969 hadi Agosti 24, 1974
Share whasap kisha copy ile post uje kupaste hapaMbona nimejaribu naona chenga tu. Ila mpaka nitaweza
Nimefurahi kusikia hivyoAlaf thanks umenifundshaga mambo mengi sana
Ujue almost kila nnacho jua ulinielekeza .ur such amazing girl
I owe you my life kwa kweli
Kaunda kafa liniR I P
EeehNUKUU NO 2#
Nchi zetu hazina budi kuangalia kuwa bahari ya hindi haiwi mahari pa migogoro baina ya mataifa ;ila iwe na amani ili kuzidisha biashara na ushilikiano wa kibiashara Kati ya India na Zanzibar ulioanza zamani sana na lazima ufufuliwe.
Maneno haya yalisemwa na aliyekuwa Rais wa India, Varahagiri Venkate Giri, wakati wa karamu rasmi aliyoandaliwa na aliyekuwa mwenyeji wake,Rais wa Zanzibar na makamu wa kwanza wa Rais, Aboud Jumbe, Zanzibar Nov 14,1972. Varahagiri Venkate Giri alizaliwa Agosti 10,1894 na kufariki Dunia Juni 23,1980.
Alikuwa Rais wa nne wa jamhuri ya India kuanzia Agosti 24 1969 hadi Agosti 24, 1974

Nipo vp mkweHvi shululu ulikiepo !!?
Kumbe bado??? Ila atakufa tu anywayKaunda kafa lini