Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU NO 2#

Nchi zetu hazina budi kuangalia kuwa bahari ya hindi haiwi mahari pa migogoro baina ya mataifa ;ila iwe na amani ili kuzidisha biashara na ushilikiano wa kibiashara Kati ya India na Zanzibar ulioanza zamani sana na lazima ufufuliwe.

Maneno haya yalisemwa na aliyekuwa Rais wa India, Varahagiri Venkate Giri, wakati wa karamu rasmi aliyoandaliwa na aliyekuwa mwenyeji wake,Rais wa Zanzibar na makamu wa kwanza wa Rais, Aboud Jumbe, Zanzibar Nov 14,1972. Varahagiri Venkate Giri alizaliwa Agosti 10,1894 na kufariki Dunia Juni 23,1980.
Alikuwa Rais wa nne wa jamhuri ya India kuanzia Agosti 24 1969 hadi Agosti 24, 1974
 
NUKUU NO 2#

Nchi zetu hazina budi kuangalia kuwa bahari ya hindi haiwi mahari pa migogoro baina ya mataifa ;ila iwe na amani ili kuzidisha biashara na ushilikiano wa kibiashara Kati ya India na Zanzibar ulioanza zamani sana na lazima ufufuliwe.

Maneno haya yalisemwa na aliyekuwa Rais wa India, Varahagiri Venkate Giri, wakati wa karamu rasmi aliyoandaliwa na aliyekuwa mwenyeji wake,Rais wa Zanzibar na makamu wa kwanza wa Rais, Aboud Jumbe, Zanzibar Nov 14,1972. Varahagiri Venkate Giri alizaliwa Agosti 10,1894 na kufariki Dunia Juni 23,1980.
Alikuwa Rais wa nne wa jamhuri ya India kuanzia Agosti 24 1969 hadi Agosti 24, 1974
RIP Jumbe
 
NUKUU NO 2#

Nchi zetu hazina budi kuangalia kuwa bahari ya hindi haiwi mahari pa migogoro baina ya mataifa ;ila iwe na amani ili kuzidisha biashara na ushilikiano wa kibiashara Kati ya India na Zanzibar ulioanza zamani sana na lazima ufufuliwe.

Maneno haya yalisemwa na aliyekuwa Rais wa India, Varahagiri Venkate Giri, wakati wa karamu rasmi aliyoandaliwa na aliyekuwa mwenyeji wake,Rais wa Zanzibar na makamu wa kwanza wa Rais, Aboud Jumbe, Zanzibar Nov 14,1972. Varahagiri Venkate Giri alizaliwa Agosti 10,1894 na kufariki Dunia Juni 23,1980.
Alikuwa Rais wa nne wa jamhuri ya India kuanzia Agosti 24 1969 hadi Agosti 24, 1974
Eeeh
We jamaa wa zamani kwa hiyo unakumbuka yote hayo!!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom