Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU NO 1#

Watu Hawa waliotuangamiza kwa karne nyingi leo wanatutukana tunapofanya makosa.

Wakati mwingine huwa najiuliza iwapo vorster (Balthazar Vorster aliyekuwa Rais wa Africa kusini),Smith (Ian Smith -aliyekuwa waziri mkuu wa Rhodesia kusini sasa Zambia) na Caetano wa Ureno (Marcelo Caetano alikuwa waziri mkuu wa Ureno)
Pamoja na wenzao wanamwabudu Mungu tunayemwabudi sisi. Wanawezaje? Haiwezekani "

Haya yalisemwa na aliyekuwa Rais wa Zambia, Dk.keneth Kaunda, September 9,1972 mjini dar es salaam alipokuwa akihutubia kikao cha kufunga mkutano wa nane wa wakuu wa nchi za Africa mashariki na Kati.

Kaunda alizaliwa April 28, 1924
R I P
 
NUKUU NO 1#

Watu Hawa waliotuangamiza kwa karne nyingi leo wanatutukana tunapofanya makosa.

Wakati mwingine huwa najiuliza iwapo vorster (Balthazar Vorster aliyekuwa Rais wa Africa kusini),Smith (Ian Smith -aliyekuwa waziri mkuu wa Rhodesia kusini sasa Zambia) na Caetano wa Ureno (Marcelo Caetano alikuwa waziri mkuu wa Ureno)
Pamoja na wenzao wanamwabudu Mungu tunayemwabudi sisi. Wanawezaje? Haiwezekani "

Haya yalisemwa na aliyekuwa Rais wa Zambia, Dk.keneth Kaunda, September 9,1972 mjini dar es salaam alipokuwa akihutubia kikao cha kufunga mkutano wa nane wa wakuu wa nchi za Africa mashariki na Kati.

Kaunda alizaliwa April 28, 1924
Hvi shululu ulikiepo !!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom