Wii huyu lazma nimsemee kwa mama mie nakutambua wewe tu...ukiona mabadiliko yoyote uniambie...Eti QUIGLEY anataka kuchepuka..

Hapana dadake mie msema kweliNa wewe ndio unataka nife kwa presha kakaake?


Hasa ukionekana humuMimi ndiye huwa naufanya moyo wake uende mbioo..
Hahaha poaHapana, nliogopa kikujoin hapa jukwaani, ungekuja tungecheza wote mana mi mzuka huwa unapanda binti mzuri ukidance mbele yangu![]()
![]()
Thanks my wii.. Pumbao la moyo wanguWii huyu lazma nimsemee kwa mama mie nakutambua wewe tu...ukiona mabadiliko yoyote uniambie...![]()
![]()
![]()
Hawa mi nlijua watakua ndo namba moja.. Kumbe bado hawajajua kuspend vizuriNumber 4, Prince William na Kate Middleton – usd 34 Million View attachment 382246hii ilikuwa ni harusi ya mjukuu wa malikia na mtoto wa princess Diana, ilioneshwa live kwenye kila televishen kubwa na wageni waalikwa walikuwa 1900 na kwa sababu ni harusi ya kitaifa protokali zilikuwa nyingi sana siku hiyo kwa kuwa na mie nlienda
Huyu dada kifo chake kilikuwa ni cha utata sana.Number 3, Lady Diana na Prince Charles – usd 48 Million View attachment 382253 hii ilikuwa mwaka 1981, asa mi nge juaje kilicho endelea
Jarbuni ku google wenyewe
Msema kweli mpenzi wa MunguHapana dadake mie msema kweli
![]()
Lazima kiwe na utata, mwarabu na mzungu wapi na wapiHuyu dada kifo chake kilikuwa ni cha utata sana.
The only one that store my brothers heart away...weraaaa my wiiii8Mimi ndiye huwa naufanya moyo wake uende mbioo..
The only one that stole my brother's heart away...weraaa my wiiiiiThe only one that store my brothers heart away...weraaaa my wiiii8

HakikaMsema kweli mpenzi wa Mungu
Mukongo njoo uvimbe kichwa hukuThe only one that stole my brother's heart away...weraaa my wiiiii![]()
![]()



HelloThe only one that stole my brother's heart away...weraaa my wiiiii![]()
![]()
Niliisikia hilo ndilo lilikuwa janga kubwa...haswa kwa royal families...hawakuweza kuvumilia upuuz ile inshu kwao ilikuwa ni kama tusi wakaona wam "terminate" Diana wa watu mapema sanaaLazima kiwe na utata, mwarabu na mzungu wapi na wapi

Aje Tufanye kweli...Mukongo njoo uvimbe kichwa huku
Cc werrason
, maana wii ashakuja tena.
Nimejua tu maana ameingia tu...moyo wako ukaanza kudunda hatari...unajing'ata kunitambulisha mie ndugu yako![]()
Wangu anasema... Sometime ili anirushie roho..