Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Napenda sana japo najua kaka wewe hupendi kabisa muziki...too sadDadangu unapenda musiki kweli wewe
Nani kakudanganya!Napenda sana japo najua kaka wewe hupendi kabisa muziki...too sad
Nilikuomba muziki ukaninyima...ukahaidi hukutimiza ahadi...nikajua labda tu huipendiNani kakudanganya!
Unajua vyema nilivyo tait, nipatapo wasaa itakua stori dadake. Linapokuja suala la kazi, huwa sina utani kama ilivyo hapa kf ambapo tunaita ni kijiwe cha kuondoa stressNilikuomba muziki ukaninyima...ukahaidi hukutimiza ahadi...nikajua labda tu huipendi
Nimekuelewa kaka angu mpendwaUnajua vyema nilivyo tait, nipatapo wasaa itakua stori dadake. Linapokuja suala la kazi, huwa sina utani kama ilivyo hapa kf ambapo tunaita ni kijiwe cha kuondoa stress
Habar ya jion wapendwa
Ni njema sanaWakuu
Habar yenyuuuu i hope mko pouw
ThemejiiiiiUnajua vyema nilivyo tait, nipatapo wasaa itakua stori dadake. Linapokuja suala la kazi, huwa sina utani kama ilivyo hapa kf ambapo tunaita ni kijiwe cha kuondoa stress
AsanteNi njema sana
Jmn shemu langu nakumisss jmn jmnThemejiiiii
Asante dada kipenzi, vp mkongo bado anaomba nafas?Nimekuelewa kaka angu mpendwa
Weka pichaOk that wa q na bella Rohooo
What a song!!!
So leo of coz niliskia kuwa jana masanja alioa na kuna watu walisea harus ilikiwa biig kwel kwl kweli na wengne walisema atakuwa ali igharamia sana, yes ana pesa kwa nn asigharamie bhana!
So leo...
Nafasi gani hiyo Mukongo aliiomba kipenzi changu kaka ake mimi? nkumbushe basi.Asante dada kipenzi, vp mkongo bado anaomba nafas?
Nafasi uwe sukari yakeNafasi gani hiyo Mukongo aliiomba kipenzi changu kaka ake mimi? nkumbushe basi.
Unaitaka??Asante dada kipenzi, vp mkongo bado anaomba nafas?
Mfano wa kuigwa huu...kumbe rooney sio wa michepuko kama Christiano RonaldoNumber 6, Wayne Rooney na Coleen McLoughlin – usd 8 Million View attachment 382219Rooney ambaye ni mchezaji wa Manchester unitd cf huko Uingereza, alimuoa coleen ambaye kwa wakati huo alikuwa ndo mpenzi wake wa kwanza na wa pekee tangu wakiwa wadogo harusi ilikuwa mnamo mwaka 2008 na wageni walikuwa 80 tuu na Rooney na mkewee walilipwa paund milioni 2.5 na kampuni moja ya mgzeti kuwa wapiga picha rasmi wa tukio hilo
Harusi ilikuwa na segmentbili ya kwanza ni iliyo husisha wageni wa alikwa na picha za watu mbali mbali hii ilifanyika kwenye jumba lenye miaka kama 330 hvi liitwalo Louis XVI chandler na seent ya pili ilihusu familia za maharusi tuu ambayo ilifanyika Riviera resort ya huko Santa Margherita Ligure na bwana harusi na ndugu zake walienda kwa ndege wakati bibi harusi na ndugu zake walienda kwa boti ziendazo kasi