Makapuku Forum

Makapuku Forum

Makufuli Jioni Pombe
..............
1471027095662.jpg
 
Number 2, Abū al-Qāsim Muḥammad ibn ʿAbd Allāh
c. A.D. 570–632 View attachment 380475
Google searches: 13.6 million+ kwa mwezi
Number of books: havihesabiki (ni vingi mnoo)
Mtume Muhammad Sallallahu alaihi wa sallam anajulikana hatuna haja ya kupigiana kelele

Wasio waislam wao husema yeye aliamzisha dini hii, lakini kwa waislam , Uislam ulikuwepo na Mungu ndo aliye anzisha isipo kuwa mtume yeye ali u regulate na kuwarudsha wale walo kuwa wameptea katika ujinga wamrudie M/Mungu
Inadhaniwa kuwa Uislam ndio imani inayo kua kwa kasi zaid karne ya 21 na kwa dini hii mtume Muhammad ndiye the final prophet
Hapa bitoz na upicha picha wake, ataruka ruka na picha yake ataikosa..

Challenge kwako, nilete picha huyu mtu pls muheshimiwa kapuku

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom