Makapuku Forum

Makapuku Forum

Vikapuku uchwara

.........
Nazani atakuwa ni huyu, maana hizi ndo tabia zao
1471026874862.jpg
 
Kwa Messi mpaka mahakama Imethibitishwa, angekuwa ujerumani angeisha wekwa lupango
Kapuku mwenzangu mie sitazami hayo, najali kile kinachonifurahisha, andunje ana kipaji maridhawa, burudani kumtizama.. Hayo mengine atajijua yeye na balaa lake, kila binadam ana kasoro zake.. Unatka kuniambia nisifurahie uwepo wa cr7 kisa kuna tetes ni gay na mengineyo.. Nisimchek kadabla kisa ni mjivun mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom