Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,257
hahaha...sio kanawe.
hahaha...sio kanawe.
Moningi mkuu...Morning all kapuku
Itakuwa kashastafu kama jamaa wa Msoga.Kitambo sana sijamsikia huyu mtu
Leo katika Historia:
1983 - Klaas Jan Huntelaar anazaliwa.
Maarufu kama " The Hunter " ni mshabuliaji wa zamani wa klabu za Ajax, Real Madrid na Schakle.
Alipiga goli la michuano dhidi ya Ujerumani.Mtukutu, kwenye mashindano ya mataifa ya ulaya wakati yanafanyikia Ukraine alikuwa na vituko sana
Upara unamnyemelea
Aliwahi kuulizwa wapi ni wanasokabora ambao wamemzidi uwezo?Balotel cha matusi
Kama chicharito
Njegere ndogoKama chicharito
Leo katika Historia:
1989 - Thomas ( Tom ) Cleverley anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Man Utd, Wigan na Everton.
Ni kiungo aliyetabiriwa makubwa sana kiasi cha kufananishwa na Paul Scholes mpya.
Lakini alishindwa kufikia uwezo wake.
Asante sana mzee wa SienaMpaka hapo sina la ziada, kwa Udhamini mnono wa Gazeti la Mseto tukutane kesho.
Au revoir.
Sawa. Ligi inaanza kesho utamaliza nafasi ya ngapi?Asante sana mzee wa Siena
Mwelekeo wa ligi ni XmasSawa. Ligi inaanza kesho utamaliza nafasi ya ngapi?
Leo katika Historia:
1990 - Mario Balotelli anazaliwa.
Ni straika wa zamani wa Inter Milan, Ac Milan, Man City na Liverpool pamoja na timu ya taifa ya Italy.
Ni mwanasoka asiyeishiwa vituko.
Utashika nafasi ya 4Mwelekeo wa ligi ni Xmas
Nachukua ubingwa, huwezi aminiUtashika nafasi ya 4
Leo katika Historia:
Ni siku ya Jeshi la Wanaanga nchini Urusi.
Napenda tu inavyomalzia himena himenes, unanikosha kweli kweli.View attachment 380020View attachment 380021
Na mpaka hapo basi sina budi kukusanya kila kilicho changu na kuwaacha muendelee kutambaring TGIF
Kumbuka ni kwa udhamini wa fix na Bitoz na zile Mali zake alizotangaza jana, Niite Jimena Jimenes
Muwe na week end njema

Dah.. Nataman kishenz iwe hvyo, hata ikiwezekana leo.. Nmechoka