Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,931
Hahaha unakuta juu suti ya pink chini moka za njano unawaka posta nzima
Moya tu natosha Papaa 
Hahaha unakuta juu suti ya pink chini moka za njano unawaka posta nzima
Moya tu natosha Papaa 
Hahaha unataka ujue ili iweje au mna mipango yenu eeh?....mkeo Maua upo nae? .au umemwacha dar?![]()
....ntakupa kula yangunagombea urais 2020 nami nikajenge kiwanja mabwepande
Apana Papaa, mimi nipo Palii, ila kama utaluhusu nifanye nae mucolabo mana ako na sauti muzuli syanaHahaha unataka ujue ili iweje au mna mipango yenu eeh?
Siwez ruhusu papaa, parii umeenda kunyoa? Mana naskia huwa mnaenda huko kunyoa hata ndevu tuApana Papaa, mimi nipo Palii, ila kama utaluhusu nifanye nae mucolabo mana ako na sauti muzuli syana



Hahaha unakuta juu suti ya pink chini moka za njano unawaka posta nzima
Kenya wamepitisha sheria ya kuruhusu ndugu (binamu) kuoana
sheria hiyo tanzania ipoKenya wamepitisha sheria ya kuruhusu ndugu (binamu) kuoana
Nina mansion hapa PaliiSiwez ruhusu papaa, parii umeenda kunyoa? Mana naskia huwa mnaenda huko kunyoa hata ndevu tu![]()