Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
SafiiHahaha
Usiwaze as long as wewe una tusua safii ina tosha
SafiiHahaha
Usiwaze as long as wewe una tusua safii ina tosha
Ni mapema sana,Mie ya 100k inanihusu wajameni...
Usiwaze mkuu, ubabe wake utafika kikomo hapo.. Niko na fundi mmoja huyo babu wa kipemba, kutoka bwimbwini huko.. Tutamzima tuu, kibabu kikikohoa tu, cr7 anageuka giroud.Hayo maneno ya kujipa natumaini namna hiyo tumeshayazungumza sana lakini hatujawahi kufanikiwa.
Mussolin5 ni mchawi. Period
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Na wewe piaUsiku mwema
BoraAkuu!! Sina.
![]()
![]()
![]()
Ni mtoto wa andunje yule silaha yake Kiingereza kichafuKuumbee...
Akitoa sapoti ya hapa na paleSzczesny msindikizaj wa karibu kabsa
We unaona nina hata kaudalili kaupara..Bora
Huu mchezo hauhitaji hasiraHayo maneno ya kujipa natumaini namna hiyo tumeshayazungumza sana lakini hatujawahi kufanikiwa.
Mussolin5 ni mchawi. Period
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Intelijensia ndo panafaa zaidi.Sawa, hapa au kule intelligence??
Sawa kabisa ukiwa free nichekiHapa hapaa
Kana kuwa ka fungua mada kafupi tuu then tuna kuwa kama tuna juzana na kupena mawazo
Family ytu inatosha wewe kuwakilishaAkitoa sapoti ya hapa na pale
Kiingereza hata uncle magu nae anaongea.Ni mtoto wa andunje yule silaha yake Kiingereza kichafu
![]()
![]()
![]()
............
Asante na kwako piaUsiku mwema