Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
HatareeeAmerudi aisee
Nkajua maneno ya Mrs Quigley yalikufanya ubadilike
HatareeeAmerudi aisee
Someone is watching youNgoja ni mfuate nimreheshe hapa asee

Nilimjibu nilienda kujifunza kusex ...akasema ndo ujinga nikamwambia ni special sex kwa ajili ya kupagawisha vibibi km yy
![]()
![]()
![]()
.............
Kazidi ufala yule ukimchekea anakuzoea ht KF alishawahi kuja kichokozi tukampa za uso![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuuu ap ulikuwa agresive kwl
Sema yule ni mchokozi wa asili
Nyie msimsumbueni faizaFix kwa sasa yuko classKuna kuna uvumilivu ulinishinda nikamchana kwa maneno yangu ya shombo za kambale wa Mabibo kwenye uzi culani hadi akatoka ndukj......siku hizi ananiogopa km Vingongo wenzake kina Ever Kichumvi na Ngedere Ungabure
![]()
![]()
. ... ...........

Nko poa, uko salama mkuu?Jonax hujambo mdogo wangu!!?
Niko fit kama Wenger vileNko poa, uko salama mkuu?
Yani huyu nimeshawahi kumchokozaga mbayaa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Atakuwa ana somea ujinga hapo

Hapo sawaCha kisasa mixer green house, watu wana-drive ma-vx
Hivi huko shule mlienda kusomea ujinga???
