Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Jamani hahaha hamna wewe umesema!!...ila napenda tu mtu ukiwa na hobby maalum...mfno kama hvyo wewe mpira, Mimi Netball, vitabu, nyimbo na movie. Ni vizuri kuwa na Hobby
............
Jamani hahaha hamna wewe umesema!!...ila napenda tu mtu ukiwa na hobby maalum...mfno kama hvyo wewe mpira, Mimi Netball, vitabu, nyimbo na movie. Ni vizuri kuwa na Hobby
Pastor katika ubora wakeMwonekano baadae utu kwanza![]()
![]()
![]()
Usiogope anapenda utani na usimind plzJamani hahaha hamna wewe umesema!!...ila napenda tu mtu ukiwa na hobby maalum...mfno kama hvyo wewe mpira, Mimi Netball, vitabu, nyimbo na movie. Ni vizuri kuwa na Hobby
Bitoz ana Id yake nyingine anayoitumia hapa. Anajiita Fundi chupi.Kwa kweli ni faulo hiyo
Ubarikiwe dadangu, ni vyema ufanye hivyo na ukipata kitu cha ku share uwasiliane na jimena upangiwe muda ili usiingiliane na mwingine@jimenaAsante kwa taarifa basi ngoja na mimi nibuni kitu niwe nakuja nacho...kama sehemu ya hobby
Asante kwa taarifa basi ngoja na mimi nibuni kitu niwe nakuja nacho...kama sehemu ya hobby
heeeee! Nmekumbuka sector yangu...

JimenaHaaaa... Post na 66666 ilikuwa yakwangu, sijui post 77777 Kai chukua nani... Hii ni record
Hamna wala mi sio mtu wa kumaind. PeaceUsiogope anapenda utani na usimind plz
Jamani ni upendo wa ndugu tu dadaPastor katika ubora wake
Hahahaha shauri zako tutaiba sekta hiyoheeeee! Nmekumbuka sector yangu...
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nilikuwa nmeshaisahau.. embu ngoja niende library nkapakue mzigo
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ile ya 6666Mkuu hii ni post ya Jimena![]()
![]()
![]()
Mi sijambo, nilikuwa matembezi kidogo. Habari ya wewe?Aaah
Mambo my only one Jimena
Nme kuulizia sana hapa
Hakika wew unafaa, humu tuna utani na tu kitu kimoja, karibu uenjoy umoja wetuHamna wala mi sio mtu wa kumaind. Peace
HahahahahaWew ni mjumbe wa lucifer!!!![]()
![]()
Kaka umerudi!
Asante...Hakika wew unafaa, humu tuna utani na tu kitu kimoja, karibu uenjoy umoja wetu
