FixNumber 5, Bhumibol Adulyadej, Thailand View attachment 375548 mfalme wa Thailand ambaye si mzee kuliko wote lakin ni mkuu wa nchi wa muda mrefu kuliko wote yeye ame pata ufalme mwaka 1946, Lèse-majesté ambazo ni sheria za Thailand zna kataza kuwepo na andiko lolote linako husu miaka ya wafalme
Kwa hiyo na mie sita waambia ana miaka mingapi
Ukitaka nitafte kwa muda wako
Huyu nilimtegemea sanaaaNumber 1, Robert Mugabe, Zimbabwe View attachment 375557 ana miaka 92 kawa kiongozi kwa zaid ya miaka 35 na hata onana na wapuga kura hadi 2018,
Kiongozi huyu ana julikana kwa quites mbali mbali za kijamii, kisiasa na hata za kuchekesha
Amejizolea umaarufu mkubwa kwa maneno yake na hekma zake hasa kwa vijana wa ki afrika....
Achen utani huyu naye mna mfaham, usinchose nskuchoshe huyu ndo Mugabe huyo huyo unaye mjua, kama humjui ka google
Sio 2018 tu, huyu babu alisema ataendelea kuiongoza zimbabwe hata akiwa kaburiniNumber 1, Robert Mugabe, Zimbabwe View attachment 375557 ana miaka 92 kawa kiongozi kwa zaid ya miaka 35 na hata onana na wapuga kura hadi 2018,
Kiongozi huyu ana julikana kwa quites mbali mbali za kijamii, kisiasa na hata za kuchekesha
Amejizolea umaarufu mkubwa kwa maneno yake na hekma zake hasa kwa vijana wa ki afrika....
Achen utani huyu naye mna mfaham, usinchose nskuchoshe huyu ndo Mugabe huyo huyo unaye mjua, kama humjui ka google
Asante sanaaaaaa amigoMlikuwa nami
Szczesny Carreanza de la Casa de la Fuma, aka Field Marshal
Adious amigooouw
Poa jonaxNipo mkuu,adjeee?
Ni yule yule jirani??Hahaha
Kuna mtu alikuwa ana nzangua ujue
Ndo nkawa na chelewa
Poa poa, usiku mwema chiefWakuu nalalaaa
Keshooo
Kuna habari nimesikia, ligi kuu ya uingereza (EPL) zitakuwa live kupitia TV1
Asante sanaa wakuu kwa kuniskiliza hapa
Nawaacha na msemo unao sema
"Usiishie kufuta machozi tuu, wafute kwenye maisha yako wale wootee wanao kuliza pia"
Hivo yaaan
Jeshi tu limeshindwa kumtoa ndo itakua hayo maandamano, mzee bishi kama shipa yuleVijana wanataka kumtoa madarakani kwa maandamano
Sasa hivi atatoka tu,mpaka wazee wamekomaaJeshi tu limeshindwa kumtoa ndo itakua hayo maandamano, mzee bishi kama shipa yule
Itabidi nijipe jina nim-overtakeNumber 4, Abdul Halim of Kedah, Malaysia View attachment 375549 huyu ana miaka 88 na ndiye kiongozi mwenye jina refu kuliko yote dunuani kwani kwa majina yake rasmi ana itwa moniker Almu’tasimu Billahi Muhibbuddin Tuanku Alhaj sir Abdul Halim Mu’adzam Shah Ibni Almarhum Sultan Badlishah.
Ni mfalme lakin wana mtindo wao wa ajabu ajabu mie si uelewi
Kwao mfalme ni kiongozi wa mapambo tuu kwani ma waziri wakuu ndo wana nguvu
Sina mkojoNumber 2, Queen Elizabeth II, United Kingdom
View attachment 375556 ana miaka 90,ni malkia toka mwaka 1952
Kama humjui ka kojoe ulale, ana julikana hata na watt wadogo huyu
ComradeNumber 1, Robert Mugabe, Zimbabwe View attachment 375557 ana miaka 92 kawa kiongozi kwa zaid ya miaka 35 na hata onana na wapuga kura hadi 2018,
Kiongozi huyu ana julikana kwa quites mbali mbali za kijamii, kisiasa na hata za kuchekesha
Amejizolea umaarufu mkubwa kwa maneno yake na hekma zake hasa kwa vijana wa ki afrika....
Achen utani huyu naye mna mfaham, usinchose nskuchoshe huyu ndo Mugabe huyo huyo unaye mjua, kama humjui ka google
Asante sanaa wakuu kwa kuniskiliza hapa
Nawaacha na msemo unao sema
"Usiishie kufuta machozi tuu, wafute kwenye maisha yako wale wootee wanao kuliza pia"
Hivo yaaan
Yule ni kiboko yaoJeshi tu limeshindwa kumtoa ndo itakua hayo maandamano, mzee bishi kama shipa yule
Tuwe wavumilivu tuoneSasa hivi atatoka tu,mpaka wazee wamekomaa
Maneno murua kabisa....ila ilaaa hiyo ya kuwa-delete hao waliokuliza sikubaliani nawe kwa7bu kila kitu kina 7bu ya kutokea! Wasingekuliza usingejifunza jambo na kuwa