Na kisasi kikafanikiwa vyema kabisaSaddam alishinda kwani pamoja na Marekani kuingilia vita hiyo, Rais wa Marekani wa wakati huo, G.W. Bush Sr ( Bush Mkubwa ) alichemsha na ndio maana mwanae alikuja kulipa kisasi.
Leo katika Historia:
1997 - Fela Kuti anafariki Dunia.
Alikuwa ni mwanamuziki mahiri toka nchini Nigeria.
Alipenda sana totoz katika ubora wake.
Hili nalo ni tatizoInaaminika aliondoka na ngoma
Leo katika Historia:
2006 - Martin Mbawala anafariki Dunia.
Alikuwa ni classmate wangu, vidonda vya tumbo vilimuondoa Duniani.
Leo tunaadhimisha miaka 10 toka ututoke, daima tutakukumbuka, pumzika kwa amani Kaka.
Leo katika Historia:
Ni siku ya Jeshi la Urusi.
R.I.PLeo katika Historia:
2006 - Martin Mbawala anafariki Dunia.
Alikuwa ni classmate wangu, vidonda vya tumbo vilimuondoa Duniani.
Leo tunaadhimisha miaka 10 toka ututoke, daima tutakukumbuka, pumzika kwa amani Kaka.
Baba na mwana wapuuzi....wamelitia hasara Taifa laoSaddam alishinda kwani pamoja na Marekani kuingilia vita hiyo, Rais wa Marekani wa wakati huo, G.W. Bush Sr ( Bush Mkubwa ) alichemsha na ndio maana mwanae alikuja kulipa kisasi.
TrueInaaminika aliondoka na ngoma
Himena himenesView attachment 374773View attachment 374774
Na kufikia hapo basi sina la ziada kutoka katika meza hii ya magazeti iliyowajia kwa udhamini wa yule Rais mzalendo wa Marekani alietawala kwa siku 30 tu
Niite Jimena Jimenes
Muwe na siku njema
Bush mtoto ndio kamandaBaba na mwana wapuuzi....wamelitia hasara Taifa lao
.....
Haswaaaaaa ndio yanavyotamkwa majina hayoHimena himenes
Hasikiki kabisa, kama vile hayupoBush mtoto ndio kamanda
Moja ya majeshi nnayoyakubali sanaLeo katika Historia:
Ni siku ya Jeshi la Urusi.
Morning mishe zinaendaje?Morning briz