Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1982 - Helder Postiga anazaliwa.

Ni mchezaji wa mpira wa miguu toka nchini Ureno.
1470118107460.jpg
1470118147242.jpg
1470118154324.jpg
 
Leo katika Historia:

2006 - Martin Mbawala anafariki Dunia.

Alikuwa ni classmate wangu, vidonda vya tumbo vilimuondoa Duniani.

Leo tunaadhimisha miaka 10 toka ututoke, daima tutakukumbuka, pumzika kwa amani Kaka.
Ooh jamani poleni sana kwa kiondokewa na classmate
Muendelee kumuenzi kwa kufanya yale alivyokuwa akiyapenda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom