Ni njema sana mkuu, umeamkaje?Ni siku nyingine tena tumepewa, hatuna budi kushukuru...habarini family
Salama mkuu, habari kwakoNi njema sana mkuu, umeamkaje?
Niko vizuri mkuu, ni asubuhi nyingine tulivu kulipamba taifaSalama mkuu, habari kwako
AmenNiko vizuri mkuu, ni asubuhi nyingine tulivu kulipamba taifa
Leo katika Historia:
1990 - Iraq yaivamia Kuwait na kusababisha kuzuka kwa vita vya Ghuba.
Leo katika Historia:
1998 - Vita ya pili ya Congo yaanza.
Pia hujulikana kama vita ya Dunia ya Afrika.
Leo katika Historia;
2014 - Watu 146 wanafariki baada ya kutokea kwa mlipuko huko Shanghai na wengine kujeruhiwa.
Kunani tena pale congo??Leo katika Historia:
1998 - Vita ya pili ya Congo yaanza.
Pia hujulikana kama vita ya Dunia ya Afrika.
Leo katika Historia:
1925 - Jorge Rafael Videla anazaliwa.
Alikuwa ni Jenerali na Rais wa 43 wa Argentina.
Happy Birthday PazziniLeo katika Historia:
1984 - Giampaolo Pazzini anazaliwa.
Ni straika wa Kiitaliano anayecheza klabu ya Hellas Verona.
Pia aliwahi kuchezea Inter Milan na Ac Milan.