eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,401
Hizi sijui tuliweka za nini kama hatuzifuati
Shughulika dadakePoa sana pilika tu
Unatupa pole leo but baadae mtatupongeza tuPoleni sana watani
Nilitamani kuwepo nkawa taitHalafu ndo hukuonekana tenaaa
Hapo sasaView attachment 374386
Hizi sijui tuliweka za nini kama hatuzifuati
Alafu nilikuwa karibu na shabiki wa ujerumani..Kwahiyo ukatamani kuua mtu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.........
View attachment 374381
Hiyo ya 9 tulikua tunaisubiri kwa hamu sana
Hizo zingine tuliona kama zinatupotezea muda tu
Tena sio kitoto..Mkanyooshwa
UlikomaAlafu nilikuwa karibu na shabiki wa ujerumani..
Hizo ni mapambo tu mkuu..View attachment 374386
Hizi sijui tuliweka za nini kama hatuzifuati
Mooooooo.......View attachment 374392
Siku hizi mna kelele za (MO)
Moo mooo moooooooo
Km ng'ombe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
............
Sikuhitaji utani na mtu yeyote kwa wakati ule..Ulikoma
[emoji460] [emoji460]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
.........
Mooooooo.......
Samtaimu inauma kuishabikia timu halafu mtu anaharibu kijingaSikuhitaji utani na mtu yeyote kwa wakati ule..
Simbaaaa tumezaliwa upyaaaView attachment 374394
Dalili za kujifungua ndama au njaa
Mooo mooo mooooo
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.............
Kutoka Kimba Sc & Chura Sc hadi kuanzia kupiga kelele za MO moooo moooo moooooooo km ng'ombe vile ni mapinduzi makubwaSimbaaaa tumezaliwa upyaaa
We have moved analogy sasa tuko digital
Km ngie wamjini kwanini mmekula rambirambi ya Mafisango(RIP)Chura ni nyie sio simba
Sisi tunaishi katikati ya mji chura atoke wapi
Nani kakwambia walikula team haina pesa za kusajili wachezaji wa maana ndio maana haifiki kutwaa ubingwaKm ngie wamjini kwanini mmekula rambirambi ya Mafisango(RIP)
View attachment 374396
Mi nahisi hiyo ni 7bu ya nuksi zinazowaandama coz jamaa aliipigania sana timu yenu hadi wanajangwani tuna kumbuka Papaa moja kati ya viungo bora kuwahi kucheza VPL
.........