Makapuku Forum

Makapuku Forum

1470049353435.jpg

Hizi sijui tuliweka za nini kama hatuzifuati
 
Chura ni nyie sio simba
Sisi tunaishi katikati ya mji chura atoke wapi
Km ngie wamjini kwanini mmekula rambirambi ya Mafisango(RIP)
1470050957164.jpg

Mi nahisi hiyo ni 7bu ya nuksi zinazowaandama coz jamaa aliipigania sana timu yenu hadi wanajangwani tuna kumbuka Papaa moja kati ya viungo bora kuwahi kucheza VPL
.........
 
Km ngie wamjini kwanini mmekula rambirambi ya Mafisango(RIP)
View attachment 374396
Mi nahisi hiyo ni 7bu ya nuksi zinazowaandama coz jamaa aliipigania sana timu yenu hadi wanajangwani tuna kumbuka Papaa moja kati ya viungo bora kuwahi kucheza VPL
.........
Nani kakwambia walikula team haina pesa za kusajili wachezaji wa maana ndio maana haifiki kutwaa ubingwa
Hayo mengine ni maneno ya mtaani tu
 
Back
Top Bottom