Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nani kakwambia walikula team haina pesa za kusajili wachezaji wa maana ndio maana haifiki kutwaa ubingwa
Hayo mengine ni maneno ya mtaani tu
1470052656820.jpg
Mkuu wajanja akina Rage walikula rambirambi ya Papaa Mafisango
Ndio hamna wachezaji wa kushindana na akina Kamusoko lkn kabla yao timu nilikuwa sawa tu lkn bundi alitanda mto Msimbazi
..........
 
Back
Top Bottom