Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Mpigie simuNtalalaje vzur wakat kishkwamb wng anaish kwao
Mpigie simuNtalalaje vzur wakat kishkwamb wng anaish kwao
Mi ni mdau haswa wa hizi mamboSafi sanaaaa
Ilifikia wakat nlikuwa nakuja jf lakin cna raha so nkaona ni log out kabisaaaRelax Kikofia na uwe unasomeka kila siku japo kwa dakika 5 tu
Hahaha kwanini sasa usimvute geto???Ntalalaje vzur wakat kishkwamb wng anaish kwao
NdioHahaha ni kweli maji hayashtui nyongo kidogo ili akili ikae kimwendokasi
Ukiwa bored uje hapa utafurahi tu mwenyeweIlifikia wakat nlikuwa nakuja jf lakin cna raha so nkaona ni log out kabisaaa
Sawa, masaji zinapitakana huko?
AiseeeeKesho ntatamba kwa hela zote hapaa,.naomba speed iwe hii hii ili nichukue post ya 100k mkiwa mnaona woteNimemisije sasa???
yale maji ya rangi ni sheeeederNdio
Waliobuni yale maji ya rangi ya dhahabu sio mbaya
Figa namba moja![]()
![]()
mnamuonea wivu mboga sab wanguHuna uviziaji huo weweKesho ntatamba kwa hela zote hapaa,.naomba speed iwe hii hii ili nichukue post ya 100k mkiwa mnaona wote
Kupumzika kwema mkuuNawatakieni usiku mwema makapuku
Shida kubwayale maji ya rangi ni sheeeeder
Halafu uhakikishe umemshusha na ngedereKesho ntatamba kwa hela zote hapaa,.naomba speed iwe hii hii ili nichukue post ya 100k mkiwa mnaona wote
Pale wivu haukubali yani hata ukiulazimisha unagomamnamuonea wivu mboga sab wangu
Usiku mwema na kwako pia bestNawatakieni usiku mwema makapuku
Tumebaki wenyewe tu sasaKupumzika kwema mkuu
Mwachen kishkwambi wangu.Acha tu.. yan hata vinyama vya kusingiziwa hakuna![]()
![]()
Ila kuna wadau wa hizo shape, naskia na vibabu vya kizungu ndo vinazimika sana na hizo namba mokoHuenda wamempunguza sio bure kabisa
