EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Pole kaka, punguza mawazo.Wenu mtiifu nmeshaleta riwaya rayari, kama kna mapungufu au makosa ya kiufundi mnijuze.. mana am so disappointed
Pole kaka, punguza mawazo.Wenu mtiifu nmeshaleta riwaya rayari, kama kna mapungufu au makosa ya kiufundi mnijuze.. mana am so disappointed
Ni kweli kabisaJF huwezi kukosa kitu cha kutuliza moyo
Poa poaWanga wengi kule bora tukaushe tu
Ndio mkuu...nimecheka sanaDuh kweli usistaajabu ya musa... Ni hukuhuku chit-chat??
hakika huwezi jutaNajisikia raha sana kuwa jf.
Nimekupata vizuri kamanda.Mkuu HAIRUHUSIWI KUQUOTE HADITHI
....................
Ndio hivyo ndugu yangu..siku imekuwa ndefu sana!Pole sana, naamini mambo mengi.
Mdogo mdogo kama hatutaki vile.Mimi mzima, tunaimalizia weekend tu
Haina nomaNimekupata vizuri kamanda.
YapMkuu HAIRUHUSIWI KUQUOTE HADITHI
....................
Asante Mkuu kwa maelezo, sikua najua ila hata Bitoz kaniambia vile.Ok,fuatilia riwaya zangu. Ila ulichokosea ni ku-quote hii hadithi.
Kutokana na kutokuwa hewan muda mrefu hvyo cwez kukulaumu.
Ila unachotakiwa usi-quote riwaya zaidi ya kulike tu ili kupunguza usumbufu kwawanotumia simu.
Cc: Jimena, Bitoz
Watakupa utaratibu wa hapa
Kikofia
Kama kawaMdogo mdogo kama hatutaki vile.
Ni majukumu ya kazi kiongoziNi nini hasa mkuu.. mapenzi,kazi au jamii?
Katika ubora wakeKikofia
Poa poa usisahau vina vya kati na mwishoNgoja niandae mashairi then kesho nitinge nayo.
